Tetesi: Kama hili ni kweli, basi nakubaliana na Lissu kuhusu Dkt. Slaa

Alichokosea Slaa ni kutotanguliza dau mezani. Kabla ya maongezi angeweka hata milioni 500 mezani huyo Mbowe angemrudisha chamani na kumteua kuwa mjumbe wa kamati kuu. Sema Slaa naye ni kenge sana kuropoka ushuzi wakati washkaji zake waliokuwa nae chama kimoja walipopatwa na matatizo. Alizingua kinyama kwenye ishu ya Lissu na Mbowe.

Mimi ninashauri Dr Slaa ajiunge WCB wazunguke nae kwenye Wasafi Festival.
 
Mungo ni muongo tu hata kama yeye mwenyewe hajui kuwa ni muongo.
Ni lini na wapi Mbowe aliwahi kushtakiwa kwa uhaini.
Kwa uhakika upinzani Tanzania upo tayari kushikana mkono wa shirika na shetani ikiwa tuu yuu kinyume na serikali ya ccm.
Maana ccm ni mbaya kwa watu wa haki kuliko alivyo shetani mwenyewe
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Najua leo weekend haupo sawa.

Fanya mambo yako, alaf jumatatu urudi tena kusoma na ku comment.

Nina imani utaandika maneno ya msingi.
 
Ninamuonea huruma Slaa,alivyo mzee sasa hivi.Josephine nae yupo Canada na watoto .Dr Slaa itakuwa anamkumbuka sana mkewe Rose Kamili na anajuta why alimuacha na kuchukua dogodogo Josephine.Kwa haya yanayomkuta Dr alitakiwa awe karibu sana na familia yake.
 
Mimi ni Tomaso, I seriously doubt the authenticity ya hoja hii, kwasababu Dr. Slaa is a person of impeccable integrity, can't be that cheap!. This news is too good to be true!.
P
 
Bila taifa hakuna familia .
 
Mauongo ya chadema. Kwani kupinga ccm lazima uwe chadema. Kwanza kuna uzito gani kuitwa balozi huku ulishatumika kama balozi sio hili jina tu la kuitwa? Hata kama kuna posho hatuzijui mtu mwenye msimamo kutotawaliwa kifikra hatojali.
 
Huu ni mtego wa kisiasa huwa kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu ila kuna maslahi ya kudumu inabidi wazichange vizuri karata zao wakimkubali shida wakimuacha akienda kwingine kama bado anainfluence kubwa bado nayo itawaletea shida chadema isichotaka kwa sasa ni kuibuka kwa chama kingine chenye nguvu cha upinzani wakati ccm kwa sasa likitokea hilo ni furaha kubwa sana kwake maana itawagawa wapiga kura wapenda upinzani na wao kujihakikishia uchaguzi mzuri na rahisi kwake. Siasa ni game kazi kwao wanasiasa .
 
Dr mihogo ashachoka kula mihogo
Sasa anataka aludi CDM akale keki ya chama kama zamani
 
aje huku chauma tutampokea.sisi hatuna neno
Tatizo huko kwenu mzee Rungwe anasimama mwenyewe kwenye uraisi.
Na lengo la Dr ni kutaka chama ambacho kitampitisha kugombea uraisi kama 2010.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…