Kama hili ni kweli na siyo Uzushi tu nitaanza kumdharau Mo Dewji na Watendaji wake wa Simba SC wanaomzunguka

Unaambiwa hiyo njemba ndio WINGA yao, inakimbia KISINDA akasome, alikuwa majeruhi.View attachment 1791217
Kwahiyo unaogopa miili ya watu, dooh hii ni ligi ya mabingwa mkuu huku hakuna watoto wakuonea hovyo we Kama unaogopa basi huku si sehemu sahihi kwako waacheni Azam, biashara na Namungo nyie bakini hapa hapa mpambane na Gwambina.
 
Sasa mo awafundishe kucheza mipira ya juu, awafundishe mabeki wasifanye makosa? Ndio kazi ya Mo?

Mtazamo wangu Mo kutoa motisha yupo sahihi, hayo mengine na majukumu ya kocha.
 
Acha wachezaji wafaidike kwa hizo motisha ww ungekuwa mchezaji usinge lialia hapa goal moja mil 200 mpra wa bongo kuwa tajir inahitaji utoboe lkn offers km hizo zikija ni nzur kwa wachezaji wetu wa kibongo
 
Acha wachezaji wafaidike kwa hizo motisha ww ungekuwa mchezaji usinge lialia hapa goal moja mil 200 mpra wa bongo kuwa tajir inahitaji utoboe lkn offers km hizo zikija ni nzur kwa wachezaji wetu wa kibongo
Foolish.
 
Tutaziweka humu humu.

Hivyo na wewe kuna kitu kinakwambia bao tano zipo. 😂😂😂
Ngoja tuone ila msije kukimbia tu humu.

Ushindi upo tena mnono kabisa wale walituotea tu kule hawana lolote.
Tulimpiga vita 4 na platinum kapigwa 4 utopolo kapigwa 4 hapa hapa basi hata na hao Kaiza sijui Kaze watakufa tu hao
🤣
 
Bro mechi ya kwanza kina chama walipokea chao mapema toka dar kama magoli unafahamiana nae mtafute akujuze kidogo.

Jinsi kina chama wawa walivopokea chao kupitia kwa mawakala wao mzee.
Acha uwongo mlizidiwa mbinu tu
 
Mo mwenyew anajua hilo haliwezekan na sisi kama watani wenu tumejipanga vilivyo Kuhakikisha tunavya tua kila aina ya mtego mtakao tega
 
Ngoja tuone ila msije kukimbia tu humu.

Ushindi upo tena mnono kabisa wale walituotea tu kule hawana lolote.
Tulimpiga vita 4 na platinum kapigwa 4 utopolo kapigwa 4 hapa hapa basi hata na hao Kaiza sijui Kaze watakufa tu hao
🤣
Unasahau kabisa kama huyu inatakiwa umfunge tano. 😂😂😂

Tofautisha Nne na tano pia yakupasa ujue hizo goli nne mlizofunga zilitimia nne kama nne ndani ya dkk ngapi hapo ndo utajua goli tano sio mchezo.

Msije bakia tu kusema zingeongezwa dkk kadhaa basi Kaizer Chiefs angekufa 5. 😅😅
 
Wewe utakuwa una matatizo kwenye medula,muda wote ni matusi tu,huna uwezo wa kujenga hoja,unaanzisha nyuzi zako za kishabiki,watu wakichangia unawatukana!!!anzisha nyuzi uko nyumbani kwako,uchangie wewe na mke wako tu,sijui wewe ni mtu wa aina gani?!!!
 
Mudi ana shida ameshaekewa kwamba hawawezi kushinda ndiyo maana ametoa ahadi tunajua kabisa uwezo wa Mudi ni bodaboda.
Haya mengine ni kufurahisha baraza
 
Sijasahau wala ila cha muhimu kusawazisha kwanza agg 4-4 then ndo tunatafuta ushindi sasa!

Kufunga goli tano unaweza funga hata ndani ya dk 45 tu hilo linawezekana kwenye mpira. Usijisahaurishe hata wewe tulikufunga 5-0 ndani ya dk 90 🤣.

Kuna watu wanapigwa hadi 8 we unaongea tano tu!!
Nyie nunueni tu hizo jezi za hao sijui Kaiza Chifu mtazivua tu pale kwa mkapa mwisho wa lami Lupaso.🤣🤣
 
Ndio nikauliza uwezo wa kufunga hizo nne kwa muda mfupi munao mana hizo game ulizosema
karibia zote hadi dakika ya 70 au 80 una bao mbili. 🤣🤣🤣

Mie yangu ninayo tayari hapa nasubiria kwenda Airport tu. 😉

Cc. Troisième Ceil
 
Uwezo tunao tena mkubwa we tulia uone pira biryani na mabao ya kutosha tu.

Kamati ya mapokezi wanafiki wa nchi 🤣🤣 ndio kazi yenu hiyo tunajua ila safari hii mtaumbuka sana.
 
Nilipoanzisha huu Uzi nilikuita You Nut?
 
Dah! Umenikumbusha 1993! Damian Kimti! Kila akitupia cross jamaa wanajikosesha magoli! Anawauliza "nyi wa.se.nge hamtakia KIA?" Kumbe watu washaahidiwa hivyo hakuna kufunga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…