Hapo ni kwa saa za SOUTH AFRICA.
Aje kimtaa kwa mtaa mkuu.. unaweza kuwa unamuita mjinga lakini anapata ugali wa kila siku kwa pesa zake.. Mo ametengenezwa, kazaliwa kwenye hela, hivyo kuna wengine Mo atawazidi kwenye hela za kuzikuta si kwa kutafuta kwa mikono yaleSasa mtu mjinga mjinga na maskini Kama wewe kumdharau bilionea Mo huon Kama unahitajika kupelekwa Milembe?
Hana Akili huyo Mkuu Msamehe bure.Hapo ni kwa saa za SOUTH AFRICA.
Goli tano ni mchuzi kwenye kabumbu jirani... Hakuna lisilowezekana kwenye soka ila issue ni ugumu but yote yawezekana.Tutaziweka humu humu.
Hivyo na wewe kuna kitu kinakwambia bao tano zipo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata aliyetoa pasi ya goli pia, kikawaida hizo ahadi hua wanagawana wote mkuuYaani mshambuliaji akifunga goli goli anapewa hela? Na wenzie? Walio zuia magoli?
Sasa hata ukimdharau Mo wewe ni nani hata kwenu hawakujui[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ni kweli hatujakataa ila kama usemavyo issue ni ugumu jirani.Goli tano ni mchuzi kwenye kabumbu jirani... Hakuna lisilowezekana kwenye soka ila issue ni ugumu but yote yawezekana.
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Hhahahah nyie mnaona mission impossible tatizo jirani.Ni kweli hatujakataa ila kama usemavyo issue ni ugumu jirani.
Ila adimu sana weye jirani.
Siyo kwa Timu zetu za 'Tanzania' Mkuu.Hata aliyetoa pasi ya goli pia, kikawaida hizo ahadi hua wanagawana wote mkuu