Kama huhusiki na hiphop usije hapa

Kama huhusiki na hiphop usije hapa

Wasanii wengi wanaosema ni wa hiphop hawafanyi hiphop, wengi wao wanarap ni fleva tu na hii imesababishwa na media zetu kutoipatia mda wa kutosha hiphop,jambo lililosababisha wasanii wengi kuikimbia hiphop.
Naamini hao karibu wote wanaweza kufanya hiphop ila hawaifanyi,angalia mtu kama kala pina kajitahidi sana kuzungumza vitu vya kweli miaka mingi tu lakini media imemuangusha mpaka sasa na yeye kaamua kubadilika,
Hashim dogo akaamua kuacha kabisa wapi saigon na xplastaz
Mkumbuke solo thang alieamua kujiondokea kabisa nchini kwenyewe baada ya mizengwe ya miaka mingi,
Saa hizi ni fleva tu

real HIP HOP is not on the radio.... mkuu SAIGON karudi yupo na ngoma yake latest inaitwa fikra pana itafute tafadhali..... kala pina kweli media zimemuangusha sana pia hashimu dogo..... kuna wasanii wanafanya vizuri.... kama nash mc,salu t, xplastaz bado ni sumu.. latest albam mixtape ya shule iko vema....
 
Mi bila hizi maisha hayaendi. 8 ball & MJG, DPG, sheek louch, NBN na Youngbloodz
 
Kundi B hatare Ila nahisi Kama stamina hujamtendea haki kuwa A
 
Hivi hiyo real hip hop mnayozungumzia bongo inauza wapi,huwezi kufananisha soko la real hip hop na soko la watu kama Izzo B,mfano Nikki mbishi au One Incredible hata watoe wimbo hautahit but mtu kama Quick Rocka akitoa anaweza kuhit hata wiki moja kama si mbili.
Mbali na hapo hao wa hip hop ngumu wataact as if money is nothing kumbe hawauzi
 
*****KWA MASHABIKI WA HIPHOP...........


Mfano imeandaliwa show mda mmoja katika eneo moja but kumbi tofauti na kiingilio kinafanana,ukumbi mmoja kuna kundi A ambalo lina hawa wasanii [NIKKI MBISHI,NIKKI WA PILI,ONE INCREDIBLE,STEREO & STAMINA],ukumbi mwingine kuna kundi B ambalo lina wasanii hawa [ROMA,KALA JEREMIA,IZZO B,GODZILLA,Q.RACKA] utachagua wapi???



View attachment 101335

japo kiumri siendani na era ya uliowataja,lkn nitaenda kundi A.
 
Hivi hiyo real hip hop mnayozungumzia bongo inauza wapi,huwezi kufananisha soko la real hip hop na soko la watu kama Izzo B,mfano Nikki mbishi au One Incredible hata watoe wimbo hautahit but mtu kama Quick Rocka akitoa anaweza kuhit hata wiki moja kama si mbili.
Mbali na hapo hao wa hip hop ngumu wataact as if money is nothing kumbe hawauzi


Mkuu Hizi nyimbo za vichwa kama !

One (MLIMANI)
Nikki Mbishi (MUST)
Sterio (ARDHI )
Songa
Ghetto Ambassador
Kad Go (UDOM)
Azma (IFM)
Zaidi Mchafu
Nash MC (Zuzu)
P The MC (CBE)
Malle Marxist (USTAWI)
DUBO JESUS SON (MUST)
DIZASTA VINA (MUST)
ROLLAND na BIZNEA
huwezi kusema zi hit kwenye Redio au wapi !
Tunaopenda hip hop tunaelewa nini wanachofanya!
Na tunaburudika na mistari yao !
Afu tUna huzuria KILINGE kama kawaida !

Mwisho wa siku Tanzania ina Tambua HIP HOP YA KWELI IPO TAMADUNI MUZIK

tatizo wabongo hawaelewi hip hop ya kweli ni ipi !
Acha tu tusikilize sisi kwenye Lap tops afu tu uzurie kilingeni kama kawaida !

ndomana Songa anakwambia

''wanasema mbona si skiki kwenye Redio/
kwanini? Nawajibu kawaulize wenye Redio/ ''
 
Hivi hiyo real hip hop mnayozungumzia bongo inauza wapi,huwezi kufananisha soko la real hip hop na soko la watu kama Izzo B,mfano Nikki mbishi au One Incredible hata watoe wimbo hautahit but mtu kama Quick Rocka akitoa anaweza kuhit hata wiki moja kama si mbili.
Mbali na hapo hao wa hip hop ngumu wataact as if money is nothing kumbe hawauzi

media zinawabania wana hip hop ukirejea harakat za ant virus ya mh. sugu pia utaelewa namaanisha nini..... watu kama AZMA hawapewi ile nafasi kusikika
 
Hivi hiyo real hip hop mnayozungumzia bongo inauza wapi,huwezi kufananisha soko la real hip hop na soko la watu kama Izzo B,mfano Nikki mbishi au One Incredible hata watoe wimbo hautahit but mtu kama Quick Rocka akitoa anaweza kuhit hata wiki moja kama si mbili.
Mbali na hapo hao wa hip hop ngumu wataact as if money is nothing kumbe hawauzi

nakubaliana nawewe thats true
 
Back
Top Bottom