Kama hujajenga pitia hapa usifanye makosa kwenye wiring yako

Ngoja kwanza mbona unatupeleka mbiombio mwendo wa ngiri? Eenhe bado sijakuelewa japo nimependa mada
 
Kiongozi, tunaomba estimation ya umeme wa jua kwa majumbani tu, mfano nyumba inayotumja umeme wa 150,000Tsh kwa mwezi, 414.5 unit. Nahitaji investment ya kiasi gani ili nitumie umeme wa solar na Tanesco iwe ndio umeme mbadala ?
Kwa matumizi yako unahitaji 15M kwa umeme wa uhakika boss
 
Ahsante mkuu
 
Kwa matumizi yako unahitaji 15M kwa umeme wa uhakika boss

Kitakachobakia hapo ni kubadili battery wastani kila baada ya Miaka mitatu au minne ktokana na brand ulkonunua hzo battery mkuu
 
Kiongozi, tunaomba estimation ya umeme wa jua kwa majumbani tu, mfano nyumba inayotumja umeme wa 150,000Tsh kwa mwezi, 414.5 unit. Nahitaji investment ya kiasi gani ili nitumie umeme wa solar na Tanesco iwe ndio umeme mbadala ?
Weeeee duh matumizi ya mwezi unatumia 150000,nyumba yako ni eneo la biashara au umefunga taa za barabarani ,mimi nina taa nyingi kila kona ila nimetumia umeme kwa mwezi ni elfu 70
 
Weeeee duh matumizi ya mwezi unatumia 150000,nyumba yako ni eneo la biashara au umefunga taa za barabarani ,mimi nina taa nyingi kila kona ila nimetumia umeme kwa mwezi ni elfu 70
ACs ndio mchawi, vioo hivi vinapunguza sana hewa since inakuwa ni kama nusu dirisha, AC zikiwashwa sehemu kama 3 hivi au nne ndio bills zinaruka ovyo ovyo.
 
ACs ndio mchawi, vioo hivi vinapunguza sana hewa since inakuwa ni kama nusu dirisha, AC zikiwashwa sehemu kama 3 hivi au nne ndio bills zinaruka ovyo ovyo.

Yeah ni kweli kama ni AC hujakosea, au funga feni
 
Solar iko poa kama kwako una matumizi ya kawaida(Hakuna Ac , Freezer,jiko la umeme wala fridge)...
 
Weeeee duh matumizi ya mwezi unatumia 150000,nyumba yako ni eneo la biashara au umefunga taa za barabarani ,mimi nina taa nyingi kila kona ila nimetumia umeme kwa mwezi ni elfu 70
Wazee mna viwanda?

Umeme wa 70k?
 
Wazee mna viwanda?

Umeme wa 70k?
Unit 7.5 ni nyingi of course nalifanyia kazi sio kama pia na likubali maana kila baada ya siku nne lazima niweke umeme ww elfu 10 nilishaomba wanibadilishie tariff wakasema kama matumizi yako yapo hivyo itakulazimu mwezi kabla haujaisha uniti nitakazo nunua za tariff nafuu basi itanilazimu nibaki bila umeme mpaka mwezi uishe duh nikaona hii nipata potea

Hivi ni vitu gani vya kuangalia kujua nyumba yako inavujisha umeme
 
Naomba uniambie uhalisia wa kitu hiki... Free flywheel energy, hii ikoje? Kuna uhalisia kwenye hili?
hata mm nafuatilia kuhusu hilo nikakutana na huyu jamaa katika link hiyo kuhusu hizo free energy... nishampa kazi anifanyie... nasbr mrejesho sasa
 
hata mm nafuatilia kuhusu hilo nikakutana na huyu jamaa katika link hiyo kuhusu hizo free energy... nishampa kazi anifanyie... nasbr mrejesho sasa
Mm nikiwa Chuo hii Project nilifanya na kufanikiwa Vzr ila n kitu Ambacho kinahitaj Muda Mwingi Sana
 
Mm nikiwa Chuo hii Project nilifanya na kufanikiwa Vzr ila n kitu Ambacho kinahitaj Muda Mwingi Sana
Ebana eeh kwa hiyo generator ilipiga mzigo wenyewe bila ya kuweka external fuel?

Hongera kwa kuniongezea imani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…