Kama hujaoa, nakushauri uoe malaya anayejiuza kwa sababu hizi 6

Kama hujaoa, nakushauri uoe malaya anayejiuza kwa sababu hizi 6

Sasa kwann unawashauri wenzio kitu ambacho huja-practice.
Wanasema "practice what you preach"
mkuu kwa uzoefu wangu nimeona mengi sana. ukiona nimetoa ushauri humu usiupuuze. ni experience based advice.

nyani mzee anastahili kutopuuzwa
 
Uchakavu wa papuchi umeuongelea??
ile ikipigwa kwa staha huwa inarudia umaridadi waje hata kama ilikuwa kama tambara la deki.

Mungu mkubwa mkuu. Papuchi recreation
 
Alikosea kipi ? kama hadi watu wanakaa zaid ya miaka 10 na kuchuma ukwasi wa kutosha licha ya mali, zisizohamishika na zinazohamishika kedekede, nahs malaya huwa na roho ya kikatili sana mengne sijui
 
Unasema haya wakati mkeo si ajabu ni mtoto wa mchungaji au wa imamu
hapana mkuu nilichelewa tu kwa sababu kijijini kwetu hawakuwahi kuwepo malaya.
Ila nimefuatilia ndoa mbalimbali.Ndoa ya malaya aliyeaolewa akaacha umalaya huwa inaraha na vionjo vingi sana.
 
Kuna ukweli mwingi sana kwenye hili .
 
mkuu sipotoshi naelimisha.
Waliooa wanawake waliokuwa wanajiuza mabarabarani kabla wanafurahia ndoa sana tena bila shaka
Kuna mtu alifanya ivo saivi anatamani dunia isimame alambe glucose, na hapo tuu hajaoa kamuachisha hiyo kazi kampangia nyumba kamnunulia na furniture za ndani + kila kitu..jamaa anakaa kwake na huyo manzi kampangia hapa nnapokaa mim...unaambiwa manzi anavushaa kinoma, kaleta utaratibu mpya hapa wa kufunga geti na kufuli ikifika usiku..madai yake tunajikinga na wezi kumbe anaogopa jamaa anaweza kufanya ziara ya kushtukiza usiku akamfumania
 
Wana ushauri mzuri sana.
mwaka 2016 nilikuwa na mmoja mkali kweli, baadae nikawa mteja wake,akaniamini nikamuamini. Alikuwa akija geto hadi mama mwenye nyumba ananiambia nimuoe.

Kuna wakati nilikuwa namkuta analia mwenyewe geto. Nikimuuliza anasema naye anapenda aolewe ila mazingira niliyompata anafahamu kabisa kumuoa siwezi kukubali!

Ngoja niishie hapa tu. Sijui alienda wapi aisee huyu mrembo!
 
Wana ushauri mzuri sana.
mwaka 2016 nilikuwa na mmoja mkali kweli, baadae nikawa mteja wake,akaniamini nikamuamini. Alikuwa akija geto hadi mama mwenye nyumba ananiambia nimuoe.

Kuna wakati nilikuwa namkuta analia mwenyewe geto. Nikimuuliza anasema naye anapenda aolewe ila mazingira niliyompata anafahamu kabisa kumuoa siwezi kukubali!

Ngoja niishie hapa tu. Sijui alienda wapi aisee huyu mrembo!
kweli mkuu.
kila malaya anasababu ya siri kwa nini alikuwa malaya. wengi sababu hizi ni kigezo cha kuwa wake wema ikitokea zimepatiwa suluisho.
 
Yupo rafk mmoja namfahamu na n mtu wa watu sana aliowah oa mwanamke malaya na walifanikiwa sana ila mwsho wa siku mwanamke alimfilisi jamaa na kutokomea na hela nyng hadi inauma ,
Ndio hvyo walivyo akili zao huwa zimefyatuka.
Kwa hyo ukiishi nao huwa wanaigiza tu ni Kama wanapumzika tu kabla ya kuliamsha dude tena.
 
Back
Top Bottom