Kama hujaoa, nakushauri uoe malaya anayejiuza kwa sababu hizi 6

Kama hujaoa, nakushauri uoe malaya anayejiuza kwa sababu hizi 6

Jaribu kumwambia malaya kabla ya kuanza mahusiano mkaanzie angaza kupima HIV uone kama hutayaoga matusi!
 
Hahahahaha ndo hvyo nahisi katika top tena ya watu makatili zaidi ulimwenguni makahaba hawakosi,
Wale sio watu wa kawaida aisee.
Mtu anayelala na watu 10 kwa siku Tena asiowajua na wala Hana wasiwasi.
Au ukiona tu jinsi wanavyosumbuana na polisi na bado hawakomi maana yake mioyo yao ishakuwa chronic.
 
mpime ngoma. kama hana oa fasta kwa sababu zifuatazo.
1: wengi wanajiuza kwa sababu waliwahi kujeruhiwa kihisia.
2: Utakuwa umepunguza rate ya uzinzi nchini.
3: Wanajua kufanya mapenzi, hivyo utapata raha maishani.
4: Wengi sio wambeawambea na ni washauri wazuri wa mambo ya maendeleo maana walikuwa wamepoteza dira muda mrefu.
5: Wakimrudia Mungu huwa hawaigizi, watakuwa waaminifu.
6: Watakupa changamoto ya kuwa na nguvu ya kutafuta fedha muda wote ili usimtie majaribuni akatamani kurudi kujiuza.
Wakuu mimi sijao malaya. na nimeshastaafu mambo ya ndoa maana umri umesonga sana, ila huu ndio ushauri wangu kwa vijana lijali
Mkuu, hebu tuekane sawa, Unamzungumzia malaya au kahaba? maana malaya hajiuzi.
 
Napata mashaka na mleta Uzi. Itakua ana ndugu malaya sasa anaona ndugu yake anazeekea kwenye vijumba vya pale mwananyamala anaanza kumpigia kampeni
 
mpime ngoma. kama hana oa fasta kwa sababu zifuatazo.

1: wengi wanajiuza kwa sababu waliwahi kujeruhiwa kihisia.
2: Utakuwa umepunguza rate ya uzinzi nchini.
3: Wanajua kufanya mapenzi, hivyo utapata raha maishani.
4: Wengi sio wambeawambea na ni washauri wazuri wa mambo ya maendeleo maana walikuwa wamepoteza dira muda mrefu.
5: Wakimrudia Mungu huwa hawaigizi, watakuwa waaminifu.
6: Watakupa changamoto ya kuwa na nguvu ya kutafuta fedha muda wote ili usimtie majaribuni akatamani kurudi kujiuza.


Wakuu mimi sijao malaya. na nimeshastaafu mambo ya ndoa maana umri umesonga sana, ila huu ndio ushauri wangu kwa vijana lijali
Unasema?

Screenshot_20211029-110122 (1).png
 
Tegemea kukimbiwa ukishapata alichokitaka kwako
Wale sio watu wa kawaida nawafaham vizuri mno
 
mpime ngoma. kama hana oa fasta kwa sababu zifuatazo.

1: wengi wanajiuza kwa sababu waliwahi kujeruhiwa kihisia.
2: Utakuwa umepunguza rate ya uzinzi nchini.
3: Wanajua kufanya mapenzi, hivyo utapata raha maishani.
4: Wengi sio wambeawambea na ni washauri wazuri wa mambo ya maendeleo maana walikuwa wamepoteza dira muda mrefu.
5: Wakimrudia Mungu huwa hawaigizi, watakuwa waaminifu.
6: Watakupa changamoto ya kuwa na nguvu ya kutafuta fedha muda wote ili usimtie majaribuni akatamani kurudi kujiuza.


Wakuu mimi sijao malaya. na nimeshastaafu mambo ya ndoa maana umri umesonga sana, ila huu ndio ushauri wangu kwa vijana lijali
😂😂😂.....kama umejihami kimalayamalaya hivi.
 
Back
Top Bottom