matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #21
mkuu kwa uzoefu wangu nimeona mengi sana. ukiona nimetoa ushauri humu usiupuuze. ni experience based advice.Sasa kwann unawashauri wenzio kitu ambacho huja-practice.
Wanasema "practice what you preach"
mkuu umewavujishia au nao wanafuatilia jfNaona kuna Malaya hapa Wanajadili kuhusu hii post. Ngoja nisikilize maoni yao ntayaleta hapa baadae
Na ulaini wa hii ndo unaanzia hapohahahaha, aisee hii ni ngumu mno...ila kuna malaya wazuri balaaa
ile ikipigwa kwa staha huwa inarudia umaridadi waje hata kama ilikuwa kama tambara la deki.Uchakavu wa papuchi umeuongelea??
Ahahahahaaa afu weweee...Unasema haya wakati mkeo si ajabu ni mtoto wa mchungaji au wa imamu
hapana mkuu nilichelewa tu kwa sababu kijijini kwetu hawakuwahi kuwepo malaya.Unasema haya wakati mkeo si ajabu ni mtoto wa mchungaji au wa imamu
mkuu kwa uzoefu wangu nimeona mengi sana. ukiona nimetoa ushauri humu usiupuuze. ni experience based advice.
nyani mzee anastahili kutopuuzwa
Kuna mtu alifanya ivo saivi anatamani dunia isimame alambe glucose, na hapo tuu hajaoa kamuachisha hiyo kazi kampangia nyumba kamnunulia na furniture za ndani + kila kitu..jamaa anakaa kwake na huyo manzi kampangia hapa nnapokaa mim...unaambiwa manzi anavushaa kinoma, kaleta utaratibu mpya hapa wa kufunga geti na kufuli ikifika usiku..madai yake tunajikinga na wezi kumbe anaogopa jamaa anaweza kufanya ziara ya kushtukiza usiku akamfumaniamkuu sipotoshi naelimisha.
Waliooa wanawake waliokuwa wanajiuza mabarabarani kabla wanafurahia ndoa sana tena bila shaka
kweli mkuu.Wana ushauri mzuri sana.
mwaka 2016 nilikuwa na mmoja mkali kweli, baadae nikawa mteja wake,akaniamini nikamuamini. Alikuwa akija geto hadi mama mwenye nyumba ananiambia nimuoe.
Kuna wakati nilikuwa namkuta analia mwenyewe geto. Nikimuuliza anasema naye anapenda aolewe ila mazingira niliyompata anafahamu kabisa kumuoa siwezi kukubali!
Ngoja niishie hapa tu. Sijui alienda wapi aisee huyu mrembo!
Ndio hvyo walivyo akili zao huwa zimefyatuka.Yupo rafk mmoja namfahamu na n mtu wa watu sana aliowah oa mwanamke malaya na walifanikiwa sana ila mwsho wa siku mwanamke alimfilisi jamaa na kutokomea na hela nyng hadi inauma ,
evil spiritwewe ni pepopunda au ni pepo wa aina gani?
Oa tu uje utupe ma uzoezi,nani kasema mwanaume anazeeka?Usisahau ng'ombe hazeeki maini.mkuu sipotoshi naelimisha.
Waliooa wanawake waliokuwa wanajiuza mabarabarani kabla wanafurahia ndoa sana tena bila shaka