Kama hujaoa, nakushauri uoe malaya anayejiuza kwa sababu hizi 6

Jaribu kumwambia malaya kabla ya kuanza mahusiano mkaanzie angaza kupima HIV uone kama hutayaoga matusi!
 
Hahahahaha ndo hvyo nahisi katika top tena ya watu makatili zaidi ulimwenguni makahaba hawakosi,
Wale sio watu wa kawaida aisee.
Mtu anayelala na watu 10 kwa siku Tena asiowajua na wala Hana wasiwasi.
Au ukiona tu jinsi wanavyosumbuana na polisi na bado hawakomi maana yake mioyo yao ishakuwa chronic.
 
Mkuu, hebu tuekane sawa, Unamzungumzia malaya au kahaba? maana malaya hajiuzi.
 
Napata mashaka na mleta Uzi. Itakua ana ndugu malaya sasa anaona ndugu yake anazeekea kwenye vijumba vya pale mwananyamala anaanza kumpigia kampeni
 
Unasema?

 
Tegemea kukimbiwa ukishapata alichokitaka kwako
Wale sio watu wa kawaida nawafaham vizuri mno
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.....kama umejihami kimalayamalaya hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…