muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,557
- 6,128
- Thread starter
- #21
Hakuna sehemu Rais alidanganya, taarifa ilisema ameongeza mshahara ikiwemo kima cha chini kwa 23% labda wengi hawakuelewa.Shida sio nyongeza, shida ni Hangaya kudanga ya uma eti asilimia 23.3% kumbe fix, Sasa na sisi 2025 tutamdanganya tunakupigia Kura Halaf hatutampigia ajue maumivu ya kudanganywa