Kama hujaridhika na nyongeza ya mshahara, Acha kazi uende wanapolipa vizuri!

Kama hujaridhika na nyongeza ya mshahara, Acha kazi uende wanapolipa vizuri!

Shida sio nyongeza, shida ni Hangaya kudanga ya uma eti asilimia 23.3% kumbe fix, Sasa na sisi 2025 tutamdanganya tunakupigia Kura Halaf hatutampigia ajue maumivu ya kudanganywa
Hakuna sehemu Rais alidanganya, taarifa ilisema ameongeza mshahara ikiwemo kima cha chini kwa 23% labda wengi hawakuelewa.
 
Shida sio nyongeza, shida ni Hangaya kudanga ya uma eti asilimia 23.3% kumbe fix, Sasa na sisi 2025 tutamdanganya tunakupigia Kura Halaf hatutampigia ajue maumivu ya kudanganywa
Atashinda hata usipopiga kura hamna namna
 
Ifike hatua tuache kubembelezana,
serikali ilisema kbs imeongeza mshahara ikiwemo kima cha chini kwa 23%, hamkuelewa nini?

hawa watu wa kima cha chini wa TGS A walikua wanapata hadi 280, 000/=
hawa ndio wamepewa 23%
sasa wewe una mshahara wa milioni na wewe unataka 23% unaumwa eti?

acheni dharau basi, kama huridhiki acha kazi uende wanapolipa vizuri kwani umelazimishwa?

ifike hatua serikali iache kubembeleza watu

hujaridhika sepa
Stupid of you!
 
Wajifunze kuacha kuropoka viongozi,kwani angesema nitaongeza nitakachoona angelaumiwa na nani? Watu wazima anawaambia asilimia 23 halafu anaongeza asilimia 5 ndo dharau gani hizo?! Itafikia muda watumishi tutaanza kumchukulia na kumtendea kama kama nae anavyochukulia,uzuri Nyerere aliweka sheria ya utumishi nzuri sana.
 
Kima cha chini hawajapewa sasa hiyo 23% wamepewa 5% uongo uongo kwa mwanamke sio mzuri!
hakuna sehemu Rais alidanganya, taarifa ilisema ameongeza mshahara ikiwemo kima cha chini kwa 23% labda wengi hawakuelewa
 
Watumishi wanataka walipwe mapesa yote yanayokusanywa halafu miradi ya kimkakati ilale.

Kuweni wazalendo kidogo.
Labda watumishi wa mungu. Wapi na lini uliwahi wasikia watumishi wa uma kupitia vyama vyao au wao wenyewe wakidai hivyo?
 
Ifike hatua tuache kubembelezana,
serikali ilisema kbs imeongeza mshahara ikiwemo kima cha chini kwa 23%, hamkuelewa nini?

hawa watu wa kima cha chini wa TGS A walikua wanapata hadi 280, 000/=
hawa ndio wamepewa 23%
sasa wewe una mshahara wa milioni na wewe unataka 23% unaumwa eti?

acheni dharau basi, kama huridhiki acha kazi uende wanapolipa vizuri kwani umelazimishwa?

ifike hatua serikali iache kubembeleza watu

hujaridhika sepa
Naunga mkono hoja
FB_IMG_1658554812119.jpg
 
Back
Top Bottom