Hakuna sehemu Rais alidanganya, taarifa ilisema ameongeza mshahara ikiwemo kima cha chini kwa 23% labda wengi hawakuelewa.Shida sio nyongeza, shida ni Hangaya kudanga ya uma eti asilimia 23.3% kumbe fix, Sasa na sisi 2025 tutamdanganya tunakupigia Kura Halaf hatutampigia ajue maumivu ya kudanganywa
Atashinda hata usipopiga kura hamna namnaShida sio nyongeza, shida ni Hangaya kudanga ya uma eti asilimia 23.3% kumbe fix, Sasa na sisi 2025 tutamdanganya tunakupigia Kura Halaf hatutampigia ajue maumivu ya kudanganywa
Stupid of you!Ifike hatua tuache kubembelezana,
serikali ilisema kbs imeongeza mshahara ikiwemo kima cha chini kwa 23%, hamkuelewa nini?
hawa watu wa kima cha chini wa TGS A walikua wanapata hadi 280, 000/=
hawa ndio wamepewa 23%
sasa wewe una mshahara wa milioni na wewe unataka 23% unaumwa eti?
acheni dharau basi, kama huridhiki acha kazi uende wanapolipa vizuri kwani umelazimishwa?
ifike hatua serikali iache kubembeleza watu
hujaridhika sepa
Ukiona haitoshi ndio uache kazi sasa , ukatafute itakayokutosha sasa kwani umelazimishwa , kwa lawama hizi afadhali msingeozewa kabisa64400
Ukiongeza kwenye kima cha chini unapata kama laki 3 n 40 kwa maisha ya sasa haitoshi
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Umezaa ninimzazi
Mkuu unajidanganya na kakura kako tz ile kupiga kura hua ni kiini macho hakuna kituShida sio nyongeza, shida ni Hangaya kudanga ya uma eti asilimia 23.3% kumbe fix, Sasa na sisi 2025 tutamdanganya tunakupigia Kura Halaf hatutampigia ajue maumivu ya kudanganywa
Wewe unamawazo mgandoWatumishi wanataka walipwe mapesa yote yanayokusanywa halafu miradi ya kimkakati ilale.
Kuweni wazalendo kidogo.
Kweli kabisa sisi maccm ni mataahira kabisaAfter all "sisi" wanaccm hatujali, watuongeze au wapunguze kwetu sawa tuu, maana sisi ni wajinga. Nani anabisha? Mama anaupiga mwingi
hakuna sehemu Rais alidanganya, taarifa ilisema ameongeza mshahara ikiwemo kima cha chini kwa 23% labda wengi hawakuelewa
Kwa mazezeta ya CCM zinawatosha64400
Ukiongeza kwenye kima cha chini unapata kama laki 3 n 40 kwa maisha ya sasa haitoshi
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Labda unamlipa mama yako Mbwa wewe[emoji5]Ndiyo
Labda watumishi wa mungu. Wapi na lini uliwahi wasikia watumishi wa uma kupitia vyama vyao au wao wenyewe wakidai hivyo?Watumishi wanataka walipwe mapesa yote yanayokusanywa halafu miradi ya kimkakati ilale.
Kuweni wazalendo kidogo.
Naunga mkono hojaIfike hatua tuache kubembelezana,
serikali ilisema kbs imeongeza mshahara ikiwemo kima cha chini kwa 23%, hamkuelewa nini?
hawa watu wa kima cha chini wa TGS A walikua wanapata hadi 280, 000/=
hawa ndio wamepewa 23%
sasa wewe una mshahara wa milioni na wewe unataka 23% unaumwa eti?
acheni dharau basi, kama huridhiki acha kazi uende wanapolipa vizuri kwani umelazimishwa?
ifike hatua serikali iache kubembeleza watu
hujaridhika sepa