Kama hujawahi kukutana na usumbufu, dharau na jeuri za watumishi wa serikali, utaendelea kutoona anachofanya Makonda

Kama hujawahi kukutana na usumbufu, dharau na jeuri za watumishi wa serikali, utaendelea kutoona anachofanya Makonda

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Ukweli ni kwamba yawezekana Makonda ana mapungufu yake kama mwanadamu mwingine yeyote. Lakini kwa kero za nyingi ya ofisini za uma hasa unapokuwa unahitaji huduma yenye viashiria vya maslahi, utazungushwa na kusumbuliwa kwa vitu vidogo sana, unapoteza muda, gharama ya fedha na gharama zingine nyingi.

Kusema kweli kuna wakati mjane mmoja alikuwa anafuatilia mirathi ya mme wake yaani amekamilisha kila kielelezo kinachotakiwa lakini ilimchukua miaka 3 kupata hiyo hela huku akienda maofisini kila wiki.

Kuna wakati unawaza kama bunduki zingekuwa zinauzwa kiholela basi wengi wa watumishi wa umma wangesha kula chuma.

Yawezekana approach ya Makonda sio nzuri kama ndivyo lakini naomba tunapomkosoa tuje na majawabu ya kuondoa hizi dharau za watumishi wa umma kwa watu ambao kimsingi ndio mabosi wao.
 
Ukweli ni kwamba yawezekana makonda ana mapungufu yake kama mwanadamu mwingine yeyote. Lakini kwa kero za nyingi ya ofisini za uma hasa unapokuwa unahitaji huduma yenye viashiria vya maslahi, utazungushwa na kusumbuliwa kwa vitu vidogo sana, unapoteza muda, gharama ya fedha na gharama zingine nyingi.

Kusema kweli kuna wakati mjane mmoja alikuwa anafuatilia mirathi ya mme wake yaani amekamilisha kila kielelezo kinachotakiwa lakini ilimchukua miaka 3 kupata hiyo hela huku akienda maofisini kila wiki.

Kuna wakati unawaza kama bunduki zingekuwa zinauzwa kiholela basi wengi wa watumishi wa umma wangesha kula chuma.

Yawezekana approach ya makonda sio nzuri kama ndivyo lakini naomba tunapomkosoa tuje na majawabu ya kuondoa hizi dharau za watumishi wa umma kwa watu ambao kimsingi ndio mabosi wao.
Kero zipo nyingi sana haswa local goverment. Hiki kiburi kinatokea sababu hakuna anaenwafuatilia, so wanatengeza dynasty zao ili kujinufaisha. Although nqpingana na makonda kwenye mambo mengi, kwenye hili nuunga mkono. Madudu ni mengi sana
 
Na wale waliopotezwa na kuuwawa na wengine kupigwa risasi na wanamtaja Makonda?!

Na yule aliemtolea Bastola Waziri fulani na kutaka kumuua?!
Ndo maana tunasemaga wazi hamna akili nyie wafuasi wa Mbowe, ndo nyie kila thread mnaleta story za Ben Saanane, Yani watu wawili au watatu wanaohisiwa kuhusishwa kupotea kwao na Makonda ndo kufanye mtu asione changamoto za mkoa mzima anazozitatua Makonda!?!?,umewahi kuzungushwa ofisi za serikalini??,umeelewa hata kilichoelezewa!?,siku ukizungushwa maofisini au ukadhurumiwa haki yako na mahakama ndo siku utaondoa kichwani hizo story za Ben Saa8.
 
Na wale waliopotezwa na kuuwawa na wengine kupigwa risasi na wanamtaja Makonda?!

Na yule aliemtolea Bastola Waziri fulani na kutaka kumuua?!
Tuongelee current situation kama hizo allegations zina ushahidi apelekwe mahakamani ili haki itendeke japo hilo haliondoi kwamba watumishi wengi wa umma ni kero isiyovumilika
 
Kwahiyo unaamini kuzodolewa hadharani ndio suluhisho la usumbufu na dharau za watumishi? Alikuwepo Dar na alizodoa sana watumishi, nini kimebadilika? Leo hii ukiulizwa, Makonda kaacha alama gani hapa Dar, utataja ipi?
 
Kwahiyo unaamini kuzodolewa hadharani ndio suluhisho la usumbufu na dharau za watumishi? Alikuwepo Dar na alizodoa sana watumishi, nini kimebadilika? Leo hii ukiulizwa, Makonda kaacha alama gani hapa Dar, utataja ipi?
Kwahiyo unashaurije!?,akae ofisini ale mshahara kama wengine!?,si bora hata hao raia wachache watakaopata msaada wake!?,hivi huwa mna roho mbaya hamtaki watu wasaidiwe?,au mnahisi anapata umaarufu sana!?,aliyewateua yupo bize anganini leo au kesho anaelekea South Korea, ndani ya mwezi mmoja kashaenda nchi zaidi ya 3. Unashaurije???
 
Nchi hii imejaa watu wengi wasiojielewa kbs na hawajui nn wanataka.

Makonda tumuombe akae kimya na tusisikie tena hadithi za ooh sjui CCM mafisadi sababu wao ndio wanawatetea.
 
Bashite Jambazi Mkuu wa wasiojulikana asituzuge kujifanya msafi ati anatujali.
 
Kwahiyo unaamini kuzodolewa hadharani ndio suluhisho la usumbufu na dharau za watumishi? Alikuwepo Dar na alizodoa sana watumishi, nini kimebadilika? Leo hii ukiulizwa, Makonda kaacha alama gani hapa Dar, utataja ipi?
Kinachotokea dar ni kwamba hao so called watumishi the have upper hand, connection.
So makonda was just inzi kwenye supu.

But the jpm akja na mtindo wake wa bandika bandua ya mabosi. Huku chini wakapoteza networks, ile sense ya kutokujua kesho yao ilirudisha adabu.
Lakini baada ya kipindi hiko kupita mambonyakarudi pale pale
 
Ukweli ni kwamba yawezekana makonda ana mapungufu yake kama mwanadamu mwingine yeyote. Lakini kwa kero za nyingi ya ofisini za uma hasa unapokuwa unahitaji huduma yenye viashiria vya maslahi, utazungushwa na kusumbuliwa kwa vitu vidogo sana, unapoteza muda, gharama ya fedha na gharama zingine nyingi.

Kusema kweli kuna wakati mjane mmoja alikuwa anafuatilia mirathi ya mme wake yaani amekamilisha kila kielelezo kinachotakiwa lakini ilimchukua miaka 3 kupata hiyo hela huku akienda maofisini kila wiki.

Kuna wakati unawaza kama bunduki zingekuwa zinauzwa kiholela basi wengi wa watumishi wa umma wangesha kula chuma.

Yawezekana approach ya makonda sio nzuri kama ndivyo lakini naomba tunapomkosoa tuje na majawabu ya kuondoa hizi dharau za watumishi wa umma kwa watu ambao kimsingi ndio mabosi wao.
upo sawa mkuu!wanaomponda makonda wengi wao ndo hao watumishi wa serikali wa ovyoovyo tuu!ila kama kweli unajua kero za watumishi wengi wa serikali lzm umuunge mkono makonda!WANAKERA SANA UKIWAKUTA MAOFISINI!
 
Naandika kwa herufi kubwa

NDIO MAANA WATUMISHI WA SERIKALI WANAONYANYASA WATU, WANAODHULUMU WATU MAENEO NA KUWAPA WENGINE, AISE CHUNGUZENI VIZURI TU, WATU HAWA WANAKUFA VIFO VIBAYA SANA, ESPECIALLY UHAMIAJI, ARDHI, MANISPAA NA TRA.

NARUDIA TENA, KAMA KUNA MTUMISHI WA SERIKALI HUMU BASI ANAJUA KINACHOWATOKEA WENZAKE HUKO SEHEMU ZAKE ZA KAZI, WANAKUFA VIFO VIBAYA SANA HAO WATU.

MTU ANABOMOA NYUMBA ZA WATU WANAISHI KIHALALI, ANAMNYANGA'ANYA FULANI NA KUMPATIA MTU WAKE, HII NI HALALI??? UKIENDA UHAMIAJI NA TRA NI MADUDU TU.

MUNGU ANAWAPA ADHABU HAPA HAPA DUNIANI KABLA UMAUTI HUJAWAKUTA NYIE WADHULUMATI WAKUBWA, NA MTAENDELEA KUFA VIFO VIBAYA.

NADHANI MMENIEREWA, NIMEMALIZA.

WAZIRI SILAA ENDELEA KUWANYOOSHA MATAPELI, NA KUFUKUZA WATUMISHI WANAO ONEA NA KUDHULUMU WATU.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Again.....
Makonda this, Makonda that...😇
 
Back
Top Bottom