Kama hujawahi kushiriki thread hizi basi hujui utamu wa JamiiForums

Sasa kama kila mtu akiongeza thread, kuna yeyote atayekuwa hajaonja utamu wa JF..??
 
Hizo thread ni kama mtoto anayemshangaa mtu mzima kwanini hachezei toys sababu kuchezea toys ni raha sana.
 
Battle kati ya Humble African Vs Engineer
Sweta la Tanzania
 
Snap it, show it
Makapuku forum - shootout kwa mkubwa Mshana Jr
Kulikuwa na Uzi ulikuwa unakuja kwa kasi sana, chini ya wachambuzi akina DeepPond ulikuwa ukimzungumzia mia khalifa aliyekuwa mcheza porn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…