Kama hujawahi kutaja neno "mkuu" hapa JF njoo uchukue million

Kama hujawahi kutaja neno "mkuu" hapa JF njoo uchukue million

Mleta mada pesa ya Paula hiyo, basi hujaprove wrong, najuta kutumia neno mkuu ona sasa nakosa pesa 😀
 
Khantwe hana chake
IMG_20201116_164658.jpeg
 
[emoji23][emoji23] kwani neno mkuu na JF vina uhusiano gani dah
 
Ayaaa!!!

Umeshaharibu kiongozi... watu tulikuwa tunajiandaa kumla kichwa huyu mhuni, ona sasa unataka kunikosesha 1 mil hivihivi Mkuu[emoji38][emoji134][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulitaka uteledhe kwenye ganda la ndizi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom