Mkuu kitambo sana, umepotelea wapi?
Kaniaibisha sana huyu jamaa kumbe huwa anakoments
nlikuwa napigia debe tule hako kaM ila ndo sheshazingua 😡 😡
1MILLION CASH BADO IPO KWENYE TABLE
[emoji16][emoji16] daahKhantwe hana chakeView attachment 1627693
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ayaaa!!!
Umeshaharibu kiongozi... watu tulikuwa tunajiandaa kumla kichwa huyu mhuni, ona sasa unataka kunikosesha 1 mil hivihivi Mkuu[emoji38][emoji134][emoji23]
Sijawahi kuandika. Hebu weka full screenshot kama unavyoweka kwa wengine nione.Paula paul hana chakeView attachment 1627696
Nawasilisha kama kichwa kinavyosema. Hilo neno ndio identity ya JF kama hujawahi kulitaja iwe topic au kwenye comment yeyote nakupa million sasa hivi.
Yataje maneno mengine hapa ambayo ni identity.