Kama hujawahi kutaja neno "mkuu" hapa JF njoo uchukue million

Kama hujawahi kutaja neno "mkuu" hapa JF njoo uchukue million

Chifu leta hyo million
Asante kwa kushiriki
IMG_20201117_021728.jpeg
 
1 MILLION CASH STILL ON TABLE
Ila huo muda wa miezi mitatu uliotoa utakuliza soon, nasema soon na utakuja kushuhudia hapa

Kuna watu mwaka mzima hawajacomment wanasoma tu kwahiyo sio ajabu miezi mitatu akawa hajatumia hilo jina

Naprophesize kuna siku utaukimbia uzi bado hawajauona
 
Haya chukua ringi lako ukachezeView attachment 1627889
Kama utaangalia vizuri utaona niliweka wino mzito (bolding) na alama za fungua na funga semi (open & close quote mark). Mahala ambapo hapana wino mzito (bold), hayo ni maneno yangu.

Nilinukuu maneno ya mtu mwingine nilishindwa ku-reply moja kwa moja comment yake. Sina App ya JF, mwanzo ilikuwa haikubali ku-reply comment moja kwa moja.
 
Nawasilisha kama kichwa kinavyosema. Hilo neno ndio identity ya JF kama hujawahi kulitaja iwe topic au kwenye comment yeyote nakupa million sasa hivi.

Yataje maneno mengine hapa ambayo ni identity.
Boss hio milion bado ipo nije nichukue??
 
Back
Top Bottom