Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapo wanawake ambao wana pesa zao, yaani wakichagua mtu wanaangalia mambo mengine beyond ankara kwa sababu kwenye wallet zao ankara sio tatizo, kama kidume ana sifa wanazohitaji wala hawafanyi hiyana, mambo ya kufulia wanamrekebishia chap chap
kuweni makini,nasoma pi-emu zenuEmbu tuhamie kwenye PM tuongee mambo mazuri.
nguli,Ha ha ha ha, samahani mkubwa sikujua kuwa huyu ndiyo shemeji, haya tusihamie kwenye PM
Ha ha ha ha, samahani mkubwa sikujua kuwa huyu ndiyo shemeji, haya tusihamie kwenye PM
nguli,
kutana na shemeji yako triplets!😀
naomba heshima ichukue nafasi yake
mimi ni mkorofi sana waifu.hebu niangalie hapa miaka ya 1985:Ha haaa huu ushemeji wa ghafla ghafla unatoka wapii? whar a yu talkn' about?
hapa nilikuwa nimetoka kupeleka mahari kwa wazazi wa trpletsmimi ni mkorofi sana waifu.hebu niangalie hapa miaka ya 1985:
![]()
hahahah...ndio maana inglishi kozi ni dili sana siku izi!LOL!!Ziko hadi za chini ya muti.
Hahaha! Kwa hiyo alivyorusha kombora, hapo hapo akakubaliwa na mambo ya kutesti kama ni mtambo au kabamia yakaanza? Hapa najua siwezi gongewa senksi. Najua kabisa! Labda baadhi ya wapwa.
Yes binamu kama kawa!!
UNDERSTOOD!nguli naenda kwenye majukumu ya nyumbani thatha
Kwa hiyo English ni nzuri kuliko Kiswahili katika Penzi?