Kama huko inbox mambo ndio haya, wanaume turudi shule

Duh kwangu Mimi ni tofauti kidog, Coz nikimfuata inbox sms zangu tano tu, alaf nakaa kimya, baada ya dakika kadhaa lazima ntaulizwa "mbna kimya vip tena" Lakin siandiki uozo huo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kulalake kwel mtupu...sema akinitumia za M- pesa hua najib[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Mambo? Upo poa, umepotea? Nimekumis,
hebu nipe story.
Junior vip hajambo?
Upo poa lakini? Haya nipe michongo....
Malizia kabisa nijibu pamoja teh teh teh wadada mna mijibu yakukimbiza watu [emoji16] natafuta pakuanzia eti unganisha naanzaje [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mkuu hawa watu wee acha tu kuna swaga zao hao ukiwanazo hata umwite kwa jina baya ataona unatania tu na anakuja kwa heshima kabisa ndo nlicho gundua kuna njia zao ukizipita tu hochoshi
 
Malizia kabisa nijibu pamoja teh teh teh wadada mna mijibu yakukimbiza watu [emoji16] natafuta pakuanzia eti unganisha naanzaje [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Teh Teh.... wew jibu moja moja.. au unataka msg za M PESA. [emoji2] [emoji12] [emoji12] [emoji14]
 
Teh Teh.... wew jibu moja moja.. au unataka msg za M PESA. [emoji2] [emoji12] [emoji12] [emoji14]
Ha ha ha alo kwambia nnashida vipesa vy mtu nani unaijua kazi yangu wewe usinicjoshe bhanaaa. [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
 
Teh...
Mi sisemagi uongo.
Ila ndo uridhike na majibu yangu
Majbu yapi tena ayo ili nijiandae kisaikologia kabisa

Au Ni Yale ya P,Home,Nop,hah,Yep my. Nk. Km ni ya hivi basi ngoja niendelee Kuchunga ndama wangu
 
Hata madada nao baadhi wana hizo kero, unakuwa anataka jambo flani atazunguka weeee na vijisalam uchwara.....duuuuhhh....hadi keroooo.,.
Haahah... Au anasema, ''kunakitu nataka kukwambia lakini au basi''

Hahahah hapo kategwa mtu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…