"Kama huna D mbili huwezi kuelewa" ni msemo unaowapa amani vilaza, tuukemee utaendelea kuzalisha wajinga wengi

"Kama huna D mbili huwezi kuelewa" ni msemo unaowapa amani vilaza, tuukemee utaendelea kuzalisha wajinga wengi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Miaka ya 2000- 2010 vijana wazito darasani (slow learners) kazi yao kubwa ilikuwa kuzifukuza D mbili tu ili waingie kwenye majeshi yetu. Yes, it was simple, mchawi D mbili tu.

Sasa hivi karibuni Kuna kilaza kaanzisha huu msemo" Kama huna D mbili huwezi kuelewa"

Vitoto vya sekondari watadhani D mbili ndio kufaulu. Kwa uhalisia D mbili unapewa cheti cha kidato cha 4 ili kutambua ushiriki wako.

Huu msemo unatred sana kwasababu huko mitandaoni kumejaa vilaza. Waziri wa elimu akemee huu msemo.
 
Miaka ya 2000- 2010 vijana wazito darasani ( slow learners) kazi yao kubwa ilikuwa kuzifukuza D mbili tu ili waingie kwenye majeshi yetu. Yes, it was simple, mchawi D mbili tu.
Sasa hivi karibuni Kuna kilaza kaanzisha huu msemo " Kama huna D mbili huwezi kuelewa"
Vitoto vya sekondari watadhani D mbili ndio kufaulu. Kwa uhalisia D mbili unapewa cheti cha kidato cha 4 ili kutambua ushiriki wako .
Huu msemo unatred sana kwasababu huko mitandaoni kumejaa vilaza.
Waziri wa elimu akemee huu msemo.
Siku hizi mtoto wa form two anapaswa kuwa na D 2 tu ili aendelee form three.
 
Miaka ya 2000- 2010 vijana wazito darasani ( slow learners) kazi yao kubwa ilikuwa kuzifukuza D mbili tu ili waingie kwenye majeshi yetu. Yes, it was simple, mchawi D mbili tu.
Sasa hivi karibuni Kuna kilaza kaanzisha huu msemo " Kama huna D mbili huwezi kuelewa"
Vitoto vya sekondari watadhani D mbili ndio kufaulu. Kwa uhalisia D mbili unapewa cheti cha kidato cha 4 ili kutambua ushiriki wako .
Huu msemo unatred sana kwasababu huko mitandaoni kumejaa vilaza.
Waziri wa elimu akemee huu msemo.
Ume u cite kinyume hio msemo ni "kama una D mbili huwezi kuelewa"
 
mkuu nafikiri unaongozwa na chuki tu, hakuna sehemu jamaa amewahi sisitiza ama amasisha watu wapate D mbili, alafu D anazo zizungumzia yeye ni za kidato cha 6 sio cha nne kama unavyo tuaminisha wewe

alafu D 2, ni matokeo yake ya kidato cha 6 kama kuhamasisha anahamasisha watu kufika cha 6

acha chuki mkubwa
 
  • Thanks
Reactions: apk
Miaka ya 2000- 2010 vijana wazito darasani ( slow learners) kazi yao kubwa ilikuwa kuzifukuza D mbili tu ili waingie kwenye majeshi yetu. Yes, it was simple, mchawi D mbili tu.
Sasa hivi karibuni Kuna kilaza kaanzisha huu msemo " Kama huna D mbili huwezi kuelewa"
Vitoto vya sekondari watadhani D mbili ndio kufaulu. Kwa uhalisia D mbili unapewa cheti cha kidato cha 4 ili kutambua ushiriki wako .
Huu msemo unatred sana kwasababu huko mitandaoni kumejaa vilaza.
Waziri wa elimu akemee huu msemo.
Kama ni hivyo wabadili tu na kusema ...(hata ukiwa na D mbili tu unaweza kuelewa) ni sawa na msemo unaosema uhitaji roketi sayansi kufanya jambo fulani...
 
  • Thanks
Reactions: apk
Kuna Prof aliambiwa na jamaa yangu kuwa kama hana D 2 hawezi elewa yaani aliwaka na kulalamika kisa yeye ana mabanda kama yote iweje asielewe? Jamaa akamwambia Prof bado haujaelewa, watu wasilikuze na kuchukia huu msemo kwani ni kama code language ya kufurahisha kwamba labda kuna jambo linatokea au kutokea inabidi ujue viashiria fulani ndo uelewa theme ya jambo husika na siyo kwamba kwamba inahusiana na matokeo ya kidato chochote unaweza kuwa uliishia darasa la tatu shule ya msingi Minyughe na bado ukaambiwa kama huna D2 hutaelewa.
 
MH. Kishimba (Mb) ana D ngapi? Dr. Sami S H. ana D ngapi, elimu ya kutupanga kwenye madaraja ililetwa kwa lengo maalum,
IMG-20241016-WA0030.jpg
 
Kuna watu wanapenda kujitesa sana hapa duniani.....yaani mtu hutulii ukafurahia maisha.....unahangaishwa na vitu vya kipuuzi kabisa.......yaani jambo la kipuuzi kama hili limekukaa rohoni mpaka ukalitafutia wasaa.....

Kwanini unaupa tabu na dhiki moyo wako.....kwanini unaisurubisha nafsi yako kwa kuipa mizigo isiyoistahili......

Dunia ina mengi...
 
Ikute mtoa mada hana D mbili na anayemwita kilaza kamzidi elimu na followers,pengine na hela 🤣🤣
Acha chuki za kitoto mkuu comedy tu unawakaa kama moto wa kifuu 🤣🤣
 
Miaka ya 2000- 2010 vijana wazito darasani ( slow learners) kazi yao kubwa ilikuwa kuzifukuza D mbili tu ili waingie kwenye majeshi yetu. Yes, it was simple, mchawi D mbili tu.
Sasa hivi karibuni Kuna kilaza kaanzisha huu msemo " Kama huna D mbili huwezi kuelewa"
Vitoto vya sekondari watadhani D mbili ndio kufaulu. Kwa uhalisia D mbili unapewa cheti cha kidato cha 4 ili kutambua ushiriki wako .
Huu msemo unatred sana kwasababu huko mitandaoni kumejaa vilaza.
Waziri wa elimu akemee huu msemo.
D mbili Kuna watu zinawatoa kimaisha kabisa,wengine A ndo zinawatoa nk
Mwache kila MTU afurahie na kusifia kinachomsaidia.
 
Back
Top Bottom