Mtu akikwambia kama huna D mbili huwezi ukaelewa it means, watu wenye D mbili vichwa vyao huwaza upumbavu mda wote na wanajua sana kubadili jambo la maana lionekane la kijinga, kwa mfano waziri akisema.. " kadri unavyopanua ndio watu wanazidi kutamani"
Hapo mwenye D mbili atawaza kugegedana while mwenye yuko timamu atajua waziri kamaanisha maendeleo ya kimiundo mbinu, so simple kabisa mwenye D mbili ni mtu wa kugeuza vitu vya maana vionekane vya kijinga