Uzur wa jamii forum machiz mpo weng yaan full burudan ila nimekuelewa sn broWanawake sometimes wanaomba hela kama chujio!...kupunguza watongozaji!
Pesa ni kama boya LA kuogelea!
Kama huna pesa unatakiwa uoneshe ubaharia wa kuogelea bila maboya!
Piga mbizi hadi demu aamini hutamzamisha mkiingia bahari ya malavdav!
Ukishazama nae majini hana ujanja unajipigia tu kama pombe ya ngomani
Haaah mkuu umetisha kuna cheque book feki apa ofisin uje uchukue uvitandike mpaka vikomeMimi siku hizi nimebinu mbuni mpya ya kushughulika na vitoto vipigaji mizinga. Vikianza stori zao za kuomba sijui hela ya saluni sijui ujinga gani navikaripia naviambia "we, mi sio wa kuombwa vihela vidogo vidogo ivyo, sijui elfu ishirini hamsini.... ukizoea kuniomba tuhela tudogodogo huto kuna siku utakua na shida kubwa utashindwa kuniambia! Ukiwa na shida kuanzia laki tano milioni ndio useme!" Basi vikisikia hivyo vinapanua miguu balaa nachakata papuchi kwa kwenda mbele! Sasa mpaka aje ahitaji laki tano ni lini na atakuja na stori gani kwanza nakua nimeshamtafuna ata nisipompa hanifanyi kitu 😀
Sanaa yaniiUmalaya ni gharama aseee[emoji23][emoji23]
Aaha ni hatarii hata waliolewa..PESA SABUNI MZEE..siku hizi ukiomba namba ya demu.. ujue ushakua baba yake mzazi..majukumu yote yako
Hakuna namna aisee hali inatishaa inakuwa hakuna tofauti na kununua malayaaKilichobaki nadhani ni kununua tu
Don't do favors for a woman today and expect to get sexual favors tomorrow. You will fail miserably because they are not wired like that. If you must do such nasty trades, use a cash on delivery model (unalipa mzigo ukiwa njiani).Mi kuna mmoja kaniomba elfu 50,nimemtumia kiroho safi..
On top kasema nimtafute anipe mbususu kama shukran.
Na ni mke wa mtu ........
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakuelewa mkuu na Hongera
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Sitaki shida mie.....
thread closedDon't do favors for a woman today and expect to get sexual favors tomorrow. You will fail miserably because they are not wired like that. If you must do such nasty trades, use a cash on delivery model (unalipa mzigo ukiwa njiani).
Na ukiona demu katulia haangaikina wanaume basi ujue ana hela au nimekosea..??
Aaaah mkuu yale masihara yetu hayakufanya kazi kbsa mpka ukaruhusu hili kutokea?Mkuu hapana aiseee.. Nimetokwa kupigwa zinga la 50K kikoba hapo hata chupi sijaona.. Nikaona sasa Mungu anaaamua kuninyoosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Wapo kaka kuna mademu wakiwa na hela hawanaga time na wanaume kabisa most of times mademu wanahangaika na wanaume sababu ya njaa...Hakuna mwanamke mwenye hela, sijui pesa zao (kama wanazo) hutumika wapi tu!
Ili hii mbinu ifanye kazi ni lazima mwanamke husika awe anaamini kwamba una hela nyingi. Na wewe mwenyewe lazma ujiweke ktk muonekano wa kuaminika. Na wakati unamweleza unakua siriaz kama kweli vile.. hapo utakula mbususu bure mpaka uchoke.ukimpa uhuru ,utapigwa sana hutoamini
Labda awe muhaya.Wewe ndo umemwambia ukweli Sasa, sio rahisi kumpata tajiri muhongaji wengi mabahili wa kutupa wana mitihani hao ukiivuka Basi unajilia kiulainiii, ila kuivuka ndo inataka uvumilivu wa hali ya juu sana
😂😂😂 Wanaume wa kanda ya ziwa tu kwa ujumla wako vizuri sekta hiyoLabda awe muhaya.
Wanaume wa kihaya Ni waziri Sana wa kuhonga na kuhudumia.
Haswaaa nmeshuhudia Sana ilo.[emoji23][emoji23][emoji23] Wanaume wa kanda ya ziwa tu kwa ujumla wako vizuri sekta hiyo
Kwakweli, hela uliyoitolea jasho inaheshima yake bwana siyo ya kugawa hovyo😎Wewe ndo umemwambia ukweli Sasa, sio rahisi kumpata tajiri muhongaji wengi mabahili wa kutupa wana mitihani hao ukiivuka Basi unajilia kiulainiii, ila kuivuka ndo inataka uvumilivu wa hali ya juu sana