Kama huna hela usiombe namba

Kama huna hela usiombe namba

Ni kweli kabisa. Wanawake ambao hatuna njaa ya vijisenti vya kula ifike mahara tujue uanauke wetu.

Mtu anakutongoza mbaya zaidi ni mme wa mtu, usimfukuze kwa maneno mabaya. Mungu hapendi. Wewe mwambie hivi:

Nina shida na laki 5 trust me utakuwa umemfukuza kisomi, hawezi kukusumbua tena.

Mungu nakuomba uwabariki wanawake wote ambao hawajapata kazi wapate kazi walipwe mshahara. Wasiwe na shida ndogo ndogo.

Na wanaume tuwape heshima yao. Sio kuwadhalilisha kuwaomba vi vocha mara elfu 50000.ni kuwadhalilisha.

Nawahakikishia mwanamke mwenye ka uwezo ka kula na kujilipia kodi hawezi sumbuliwa na wanaume.

Wanawake msimamo wetu ni ule ule. Mme wa ndoa ndo hachunwi. Walobaki kuchunwa ni lazima.
 
😂😂😂Tunaangalia na wakumpa, Kuna wengine Ni level sawa na bure😂😂
Uzuri wenu mnapenda kuambiwa ukweli na utulivu katika mali zenu (hamtaki mtu aonekane ni mroho wa mali zenu), hampendi kufake, wanawake wengi hii inawashinda, mkijihakikishia Hilo Basi mnatoa Tena pasipo kuombwa
 
Pesa bila papuchi hapana aisee tena tunaangalia na ubora wenyewe, sio ukimvua tu tight moshi unapanda na kaharufu mfyyuuuu hiyo ni tatu tatu bei. hapo ndomu lazima.

kuna mmoja nilimpima nikakuta hana maambukizi yuko vizuri lakini kutokana na tako lake akikaa mahali mavi arufu, hii arufu nikasema tako kubwa lisipo safishwa ndio huwa hivi.. lakini wakuu takoriiiiiii kubwa during kwichi ni tamu sana.
 
Mkuu hapana aiseee.. Nimetokwa kupigwa zinga la 50K kikoba hapo hata chupi sijaona.. Nikaona sasa Mungu anaaamua kuninyoosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Siku hizi kuomba pesa wanaitumia Kama defence, na ukimpa kweli unashangaa umepewa mzigo kiulaini Sana, Ila ndo pesa inakuwa ishaenda na haimaanishi ndo mwisho wa mizinga
 
Wapo kaka kuna mademu wakiwa na hela hawanaga time na wanaume kabisa most of times mademu wanahangaika na wanaume sababu ya njaa...
Nikwel mwanamke anaye jimudu maitaji yake muhim huwez kumkuta akigawa hovyo baadhi yao wanakuwa hawaja tulia kutokana na kutokuwa na kipato kizur
 
Ni kweli kabisa. Wanawake ambao hatuna njaa ya vijisenti vya kula ifike mahara tujue uanauke wetu.

Mtu anakutongoza mbaya zaidi ni mme wa mtu, usimfukuze kwa maneno mabaya. Mungu hapendi. Wewe mwambie hivi:

Nina shida na laki 5 trust me utakuwa umemfukuza kisomi, hawezi kukusumbua tena.

Mungu nakuomba uwabariki wanawake wote ambao hawajapata kazi wapate kazi walipwe mshahara. Wasiwe na shida ndogo ndogo.

Na wanaume tuwape heshima yao. Sio kuwadhalilisha kuwaomba vi vocha mara elfu 50000.ni kuwadhalilisha.

Nawahakikishia mwanamke mwenye ka uwezo ka kula na kujilipia kodi hawezi sumbuliwa na wanaume.

Wanawake msimamo wetu ni ule ule. Mme wa ndoa ndo hachunwi. Walobaki kuchunwa ni lazima.
Mwanamke mwenye kipato yeye ndo ana chagua nani wakumpa penz maana hatarajii kutumia mwili wake kupata kitu kwakua ana jimudu yeye Kama yeye, Sasa mwanamke ambaye Hana kipato itamlazim kumkubali mwanaume hata kama ajampenda Ili mradi tu apate anacho kitaka
 
Ungejua wenye hela ndio wagumu kuhonga kuliko sisi masikini.. sisi masikini ndio tunawabeba wanawake sana kwa vi hela vyetu viduchu

Wanawake wanalijua hilo.. kumpata tajiri muhongaji sio kazi ndogo..

Matajiri ama wenye hela waliotafuta wenyewe ni wabahili sana. Maana wanaheshimu hela...

Kula like man!!!!
 
Nani kakwambia kuwa mjumuisho wako ni kweli? Kamuulize baba yako. Hivi hata rais kama Kambarage akitulia unasema hana fedha juha wewe? Umewahoji wangapi limbukeni wewe usojua lolote?
Kwa hasra izi ni dhaili kabisa kuwa , huna pesa na una demu mmoja na dem mwenyewe anakuzingu[emoji2]
 
Maskini mwenzenu nipo hapa,hata sipingi baba

nikifkiria tu kutoa mtongozo nawaza madeni ninayodaiwa kwanza

najikuta napiga kifua mara 3 najiambia Kontrola tulizana baba,benki huu mwezi wa mwisho rejesho.
Mkuu kwema??
Umekuwa kimya sana ndugu yangu.
 
Tena siku hizi wanakuja na gia ya nikopeshe, mimi ndani ya 2days nimeombwa 100k, 30k, 30k, 10k na 7k.. nikawaza hivi hela zote hizi nikiwa natoa kila zinapoombwa itakuwaje?
Kuna muda unawaza mpka kwenda kununua malaya.. wadada wa mjini njaa kali sana, alafu kutoa k wagumu [emoji2][emoji2]

Sema siku hizi nimekuwa bahiri hatari, [emoji2][emoji2] sitoi hela kizembe yan lazima atoe k apewe hela hataki akafie mbele.
Ndo hapo sasa mwanamke anataka apewe hela kwanza halafu k baadaye na mwanaume anataka apewe k kwanza halafu baadaye ndiyo atoe pesa mwisho wa siku wanakosa wote.
 
Back
Top Bottom