Sikuwahi kwenda Hospital kuangalia wagonjwa,,mwaka 2018 jamaa yetu mama yake alikua anaumwa nikaenda kumuona,nilio ona hospital nilisikitika Sana,nilikua mpole Mwezi mzima, ukienda hospital Kila Mwezi lazima ubadilike,
Kuna Mzee Kitaa alikua Swala Tano(RIP) Kila siku Mke wake anapika Uji Sufuria Kubwa Sana,, asubuhi Mzee anapeleka uji Hospital kwa wagonjwa wasio na uwezo Wala ndugu,hiyo ratiba ilikua DAILY Hadi anakufa...