Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hello!
Umeme wa jua ni bora na ninatamani Watanzania wote wangekuwa nao.
Ukinunua system ya umeme wa jua kwa sh.laki nane unaweza kutumia kwa matumizi ya friji dogo la nyumbani, ukawasha TV, redio, ukanyoosha nguo and so.
Hakuna kulipa kila mwezi kama zamani au kukosa umeme kwakuwa luku imeisha.
Ukiweka system ya milioni 2 unaweza kuwasha ma friji mengi, ukavuta maji chini nyumba yako isikatike maji na hawa dawasa sijui dawasco na TANESCO ukaishia kuwasikia redioni tu.
Solar energy is simple and reliable source of power.
Mimi sio fundi wala siuzi vifaa vya solar. Sitangazi biashara bali nawahamasisha tu tutumie umeme wa jua, hauishi na ni salama
Umeme wa jua ni bora na ninatamani Watanzania wote wangekuwa nao.
Ukinunua system ya umeme wa jua kwa sh.laki nane unaweza kutumia kwa matumizi ya friji dogo la nyumbani, ukawasha TV, redio, ukanyoosha nguo and so.
Hakuna kulipa kila mwezi kama zamani au kukosa umeme kwakuwa luku imeisha.
Ukiweka system ya milioni 2 unaweza kuwasha ma friji mengi, ukavuta maji chini nyumba yako isikatike maji na hawa dawasa sijui dawasco na TANESCO ukaishia kuwasikia redioni tu.
Solar energy is simple and reliable source of power.
Mimi sio fundi wala siuzi vifaa vya solar. Sitangazi biashara bali nawahamasisha tu tutumie umeme wa jua, hauishi na ni salama