chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Baa ni biashara nzuri sana kama ukipatia soko na upande fulani.
Ila biashara ya baa aina tofauti na kubeti sana. Tunaopitapita kwenye mabaa tumeona jinsi baa zilizokufa na kuibuka. Suala la baa lina changamoto nyingi kama mtu una roho ndogo au mtu wa dini bora kutulia na biashara nyingine.
Wateja wa baa ni watu wasio na shukrani yaani wakiichoka ndio basi tena. Wateja wa baa kuwapata unatumia nguvu kubwa sana ili wajae mfano kuwepo na wadada wazuri (wahudumu), watoa ofa wasioisha hapo kwako na wapambe .
Biashara za baa upande fulani zimejaa visasi kati ya wenye baa ambao wapo karibu na ushirikina sana kwa ajili ya wateja.
Kama haupo vizuri kwenye idara ya sangoma na wapambe utafunga mapema.
Ila biashara ya baa aina tofauti na kubeti sana. Tunaopitapita kwenye mabaa tumeona jinsi baa zilizokufa na kuibuka. Suala la baa lina changamoto nyingi kama mtu una roho ndogo au mtu wa dini bora kutulia na biashara nyingine.
Wateja wa baa ni watu wasio na shukrani yaani wakiichoka ndio basi tena. Wateja wa baa kuwapata unatumia nguvu kubwa sana ili wajae mfano kuwepo na wadada wazuri (wahudumu), watoa ofa wasioisha hapo kwako na wapambe .
Biashara za baa upande fulani zimejaa visasi kati ya wenye baa ambao wapo karibu na ushirikina sana kwa ajili ya wateja.
Kama haupo vizuri kwenye idara ya sangoma na wapambe utafunga mapema.