Kama huna nyota ya mapenzi/mahusiano utateseka sana

Kama huna nyota ya mapenzi/mahusiano utateseka sana

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Kama huna nyota na wanawake na huna hela mapenzi yatakutesa sana, sababu kuna watu wana nyota na wanawake mara nyingi hawatumii nguvu kubwa sana kuwapata wanawake, nielewekwe wanakataliwa ila sio kama wale wanaume ambao hawana nyota kabisa Ukiwa na nyota plus una hela utakua mfano wa king mswati,

Kuna wanaume hawatumii nguvu na hela kuwapata wanawake

Kuna wanaume hawana nyota na wanawake ila wana hela, wanaposition fulani, au kipaji fulani hao wana-afadhali, ila huna nyota, huna hela, huna position yeyote au huna kipaji chochote kile mapenzi yanatakutesa sana utakua ni mtu mwenye bahati mbaya

Kwa wanawake kama huna nyota na wanaume utajikuta kila unao wakubalia ni vimeo huku ukiwakatalia wanaume wa maana mfano single mother wengi sio wote ukiwafuatilia sana utakuja gundua hawana nyota na wanaume
 
Kama huna nyota na wanawake na huna hela mapenzi yatakutesa sana, sababu kuna watu wana nyota na wanawake mara nyingi hawatumii nguvu kubwa sana kuwapata wanawake, nielewekwe wanakataliwa ila sio kama wale wanaume ambao hawana nyota kabisa Ukiwa na nyota plus una hela utakua mfano wa king mswati,

Kuna wanaume hawana nyota na wanawake ila wana hela, wanaposition fulani, au kipaji fulani hao wana-afadhali, ila huna nyota, huna hela, huna position yeyote au huna kipaji chochote kile mapenzi yanatakutesa sana utakua ni mtu mwenye bahati mbaya

Kwa wanawake kama huna nyota na wanaume utajikuta kila unao wakubalia ni vimeo huku ukiwakatalia wanaume wa maana mfano single mother wengi sio wote ukiwafuatilia sana utakuja gundua hawana nyota na wanaume
Binafsi suala la wanawake sisumbuki labda nisiwe na interest nao.
 
Kama huna nyota na wanawake na huna hela mapenzi yatakutesa sana, sababu kuna watu wana nyota na wanawake mara nyingi hawatumii nguvu kubwa sana kuwapata wanawake, nielewekwe wanakataliwa ila sio kama wale wanaume ambao hawana nyota kabisa Ukiwa na nyota plus una hela utakua mfano wa king mswati,

Kuna wanaume hawana nyota na wanawake ila wana hela, wanaposition fulani, au kipaji fulani hao wana-afadhali, ila huna nyota, huna hela, huna position yeyote au huna kipaji chochote kile mapenzi yanatakutesa sana utakua ni mtu mwenye bahati mbaya

Kwa wanawake kama huna nyota na wanaume utajikuta kila unao wakubalia ni vimeo huku ukiwakatalia wanaume wa maana mfano single mother wengi sio wote ukiwafuatilia sana utakuja gundua hawana nyota na wanaume
Nyota ni myths tu
 
Kama huna nyota na wanawake na huna hela mapenzi yatakutesa sana, sababu kuna watu wana nyota na wanawake mara nyingi hawatumii nguvu kubwa sana kuwapata wanawake, nielewekwe wanakataliwa ila sio kama wale wanaume ambao hawana nyota kabisa Ukiwa na nyota plus una hela utakua mfano wa king mswati,

Kuna wanaume hawana nyota na wanawake ila wana hela, wanaposition fulani, au kipaji fulani hao wana-afadhali, ila huna nyota, huna hela, huna position yeyote au huna kipaji chochote kile mapenzi yanatakutesa sana utakua ni mtu mwenye bahati mbaya

Kwa wanawake kama huna nyota na wanaume utajikuta kila unao wakubalia ni vimeo huku ukiwakatalia wanaume wa maana mfano single mother wengi sio wote ukiwafuatilia sana utakuja gundua hawana nyota na wanaume
Nimeona ni asilimia ndogo wenye kismati.
 
Sidhani kama iko hivyo. Ni kutozichanga vema karata zako.

Watu wamekuwa wakiishi kwa kuiga wengine namna wanavyoendesha mahusiano yao. Watu hutofautiana. Namna utakavyodate na huyo haiwezi kuwa sawa na utakavyodate na mwingine.
 
Kama huna nyota na wanawake na huna hela mapenzi yatakutesa sana, sababu kuna watu wana nyota na wanawake mara nyingi hawatumii nguvu kubwa sana kuwapata wanawake, nielewekwe wanakataliwa ila sio kama wale wanaume ambao hawana nyota kabisa Ukiwa na nyota plus una hela utakua mfano wa king mswati,

Kuna wanaume hawana nyota na wanawake ila wana hela, wanaposition fulani, au kipaji fulani hao wana-afadhali, ila huna nyota, huna hela, huna position yeyote au huna kipaji chochote kile mapenzi yanatakutesa sana utakua ni mtu mwenye bahati mbaya

Kwa wanawake kama huna nyota na wanaume utajikuta kila unao wakubalia ni vimeo huku ukiwakatalia wanaume wa maana mfano single mother wengi sio wote ukiwafuatilia sana utakuja gundua hawana nyota na wanaume
Issue ni mkwnja tu hapo
 
Kuna Jamaa hapa ana hela anatumiwa dollars kutoka kwa mama na Dada yake kutoka ulaya. Nyumba na biashara kaachiwa yeye kila mwaka anatumiwa gari.

Cha ajabu ni Domo zege miaka 41 Sasa Hana demu Wala mtoto akikuona na demu anaAnza kutia huruma umtongozee Rafiki yake huyo demu. Na mbaya zaidi ana mkono wa mtoto akienda kwa madanguro wanamjua wote wanamkimbia...asee huwa ni mnyonge sana nakubali Hana nyota ya mapenzi.
 
Back
Top Bottom