Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
- Thread starter
- #21
Kuna wanaume hawatumii nguvu na pesa kabisa kwa wanawakeBinafsi suala la wanawake sisumbuki labda nisiwe na interest nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wanaume hawatumii nguvu na pesa kabisa kwa wanawakeBinafsi suala la wanawake sisumbuki labda nisiwe na interest nao.
Akili za mtu mweusi hovyo sana,yaani kupata mwanamke na yenyewe ni Swala la kusumbua akili?Kama huna nyota na wanawake na huna hela mapenzi yatakutesa sana, sababu kuna watu wana nyota na wanawake mara nyingi hawatumii nguvu kubwa sana kuwapata wanawake, nielewekwe wanakataliwa ila sio kama wale wanaume ambao hawana nyota kabisa Ukiwa na nyota plus una hela utakua mfano wa king mswati,
Kuna wanaume hawatumii nguvu na hela kuwapata wanawake
Kuna wanaume hawana nyota na wanawake ila wana hela, wanaposition fulani, au kipaji fulani hao wana-afadhali, ila huna nyota, huna hela, huna position yeyote au huna kipaji chochote kile mapenzi yanatakutesa sana utakua ni mtu mwenye bahati mbaya
Kwa wanawake kama huna nyota na wanaume utajikuta kila unao wakubalia ni vimeo huku ukiwakatalia wanaume wa maana mfano single mother wengi sio wote ukiwafuatilia sana utakuja gundua hawana nyota na wanaume
Huu uzi jamaa kazunguka zunguka tu ila target yake ilikuwa kwa dada zetu wanaolea watoto pasipo uwepo wa wanaume.Haya wakina singo maza hamna nyota
Hili ni jukwaa la urafiki na mapenzi jamiiforum inamajukwaa mengi nenda kwenye majukwaa ya science na technologia acha ujuaji wa kijinga hii inaonyesha jinsi gani ulivyo poyoyoyoAkili za mtu mweusi hovyo sana,yaani kupata mwanamke na yenyewe ni Swala la kusumbua akili?
Hivi vitu enzi zetu vilikuwa vinakuja automatic tu,sasa badala ya kusumbua kichwa kufanya mambo makubwa kwenye nyanja uliyochagua kama music,sayansi,elimu,kilimo,nk,watu wanawaza ngono?!kupata wanawake!!
Mbona wewe unaonekana kuwa poyoyo kuliko yeye.Hili ni jukwaa la urafiki na mapenzi jamiiforum inamajukwaa mengi nenda kwenye majukwaa ya science na technologia acha ujuaji wa kijinga hii inaonyesha jinsi gani ulivyo poyoyoyo
Jamiforum ni jukwa huru sio kila uzi utakua wa kukufurahisha, we mwenye akili umefanya nin so far hapa Tanzania cha kukumbukwaMbona wewe unaonekana kuwa poyoyo kuliko yeye.
Exactly ndo ninayoongeleaLove nyota sio
Na kwa nn umewafuayilia single mothersKama huna nyota na wanawake na huna hela mapenzi yatakutesa sana, sababu kuna watu wana nyota na wanawake mara nyingi hawatumii nguvu kubwa sana kuwapata wanawake, nielewekwe wanakataliwa ila sio kama wale wanaume ambao hawana nyota kabisa Ukiwa na nyota plus una hela utakua mfano wa king mswati,
Kuna wanaume hawatumii nguvu na hela kuwapata wanawake
Kuna wanaume hawana nyota na wanawake ila wana hela, wanaposition fulani, au kipaji fulani hao wana-afadhali, ila huna nyota, huna hela, huna position yeyote au huna kipaji chochote kile mapenzi yanatakutesa sana utakua ni mtu mwenye bahati mbaya
Kwa wanawake kama huna nyota na wanaume utajikuta kila unao wakubalia ni vimeo huku ukiwakatalia wanaume wa maana mfano single mother wengi sio wote ukiwafuatilia sana utakuja gundua hawana nyota na wanaume