Kama huna nyota ya mapenzi/mahusiano utateseka sana

Kama huna nyota ya mapenzi/mahusiano utateseka sana

Kama huna nyota na wanawake na huna hela mapenzi yatakutesa sana, sababu kuna watu wana nyota na wanawake mara nyingi hawatumii nguvu kubwa sana kuwapata wanawake, nielewekwe wanakataliwa ila sio kama wale wanaume ambao hawana nyota kabisa Ukiwa na nyota plus una hela utakua mfano wa king mswati,

Kuna wanaume hawatumii nguvu na hela kuwapata wanawake

Kuna wanaume hawana nyota na wanawake ila wana hela, wanaposition fulani, au kipaji fulani hao wana-afadhali, ila huna nyota, huna hela, huna position yeyote au huna kipaji chochote kile mapenzi yanatakutesa sana utakua ni mtu mwenye bahati mbaya

Kwa wanawake kama huna nyota na wanaume utajikuta kila unao wakubalia ni vimeo huku ukiwakatalia wanaume wa maana mfano single mother wengi sio wote ukiwafuatilia sana utakuja gundua hawana nyota na wanaume
Akili za mtu mweusi hovyo sana,yaani kupata mwanamke na yenyewe ni Swala la kusumbua akili?
Hivi vitu enzi zetu vilikuwa vinakuja automatic tu,sasa badala ya kusumbua kichwa kufanya mambo makubwa kwenye nyanja uliyochagua kama music,sayansi,elimu,kilimo,nk,watu wanawaza ngono?!kupata wanawake!!
 
Akili za mtu mweusi hovyo sana,yaani kupata mwanamke na yenyewe ni Swala la kusumbua akili?
Hivi vitu enzi zetu vilikuwa vinakuja automatic tu,sasa badala ya kusumbua kichwa kufanya mambo makubwa kwenye nyanja uliyochagua kama music,sayansi,elimu,kilimo,nk,watu wanawaza ngono?!kupata wanawake!!
Hili ni jukwaa la urafiki na mapenzi jamiiforum inamajukwaa mengi nenda kwenye majukwaa ya science na technologia acha ujuaji wa kijinga hii inaonyesha jinsi gani ulivyo poyoyoyo
 
Hili ni jukwaa la urafiki na mapenzi jamiiforum inamajukwaa mengi nenda kwenye majukwaa ya science na technologia acha ujuaji wa kijinga hii inaonyesha jinsi gani ulivyo poyoyoyo
Mbona wewe unaonekana kuwa poyoyo kuliko yeye.
 
Wengine hela hatuna ila appearance inatubeba,,sasa sielewi good appearance ndo inaweza kuwa nyota yenyewe??
 
Kama huna nyota na wanawake na huna hela mapenzi yatakutesa sana, sababu kuna watu wana nyota na wanawake mara nyingi hawatumii nguvu kubwa sana kuwapata wanawake, nielewekwe wanakataliwa ila sio kama wale wanaume ambao hawana nyota kabisa Ukiwa na nyota plus una hela utakua mfano wa king mswati,

Kuna wanaume hawatumii nguvu na hela kuwapata wanawake

Kuna wanaume hawana nyota na wanawake ila wana hela, wanaposition fulani, au kipaji fulani hao wana-afadhali, ila huna nyota, huna hela, huna position yeyote au huna kipaji chochote kile mapenzi yanatakutesa sana utakua ni mtu mwenye bahati mbaya

Kwa wanawake kama huna nyota na wanaume utajikuta kila unao wakubalia ni vimeo huku ukiwakatalia wanaume wa maana mfano single mother wengi sio wote ukiwafuatilia sana utakuja gundua hawana nyota na wanaume
Na kwa nn umewafuayilia single mothers
 
Back
Top Bottom