KAMA HUTAKI KUTOA USHIRIKIANO KWANINI UNATOA NAMBA?

KAMA HUTAKI KUTOA USHIRIKIANO KWANINI UNATOA NAMBA?

Niende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahali popote!!
Uwe unatongoza kwanza, akikubali ndo uombe namba.
Baadae ukianza kuitumia namba alokupa lazima akupe ushirikiano sababu ni demu wako tayari.
 
Hakuna ujana wa kuomba omba namba deal na kutafuta pesa hizo namba utaletewa tu hata bila kuomba
Nakuweka kwenye level flani ya maisha ikiwa haupo kwenye level hiyo basi unaumwa
 
Kuna jamaa yeye haombi na namba ya mdada bali anatoa namba yake na laki 5 ya vocha ili apigiwe na huyo mdada baada ya kuweka vocha.
 
Back
Top Bottom