White drone
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 201
- 386
- Thread starter
- #101
Itakuwa wewe sio kijanaKwanini uombe ombe namba hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa wewe sio kijanaKwanini uombe ombe namba hovyo
Uwe unatongoza kwanza, akikubali ndo uombe namba.Niende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahali popote!!
Hakuna ujana wa kuomba omba namba deal na kutafuta pesa hizo namba utaletewa tu hata bila kuombaItakuwa wewe sio kijana
Inategemea na mazingira mkuu mengine hayaruhusu hiloUwe unatongoza kwanza, akikubali ndo uombe namba.
Baadae ukianza kuitumia namba alokupa lazima akupe ushirikiano sababu
Nakuweka kwenye level flani ya maisha ikiwa haupo kwenye level hiyo basi unaumwaHakuna ujana wa kuomba omba namba deal na kutafuta pesa hizo namba utaletewa tu hata bila kuomba
mazingira yote yanaruhusu hilo,Inategemea na mazingira mkuu mengine hayaruhusu hilo
Kweli kabisa. Sasa hivi Dasalama Jua ni Kali Sana.Kuringa ni tabia yao, lakini ukienda nao taratibu Kwa uvumilivu ipo siku utafanikiwa kupata ulichokitaka, Huwa wanakuwa wasumbufu mwanzoni lakini wakishaingia kwenye mfumo mambo yanakuwa safi
😃Kweli kabisa. Sasa hivi Dasalama Jua ni Kali Sana.
Nikichukua namba nikiona red flag nablock nafuta naendelea na safariUnamaanisha never force wanawake ni wengi sana kwanini mmoja akulize😂
Ila ni atahisi shida ni kumpitia na kusepa kwa hiyo lazima akuzingua unless anauzaAshtuke nini Kwan baada ya mwezi penyew ndio kusema atakupa masikio siyo mbunye?
🤝sanaaaAnakukataa kweupe vijana wana Papara
Hatariii mkuuAisee 😂😂
Yaap so kutoa ni vigumuKabisa demu mwenyewe lazima aone kuwa hapa sasa nimeyatimba.
😂😂 Mambo ya ubaya ubwelaNikichukua namba nikiona red flag nablock nafuta naendelea na safari