White drone
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 201
- 386
- Thread starter
- #61
Duh kwahiyo text ya kwanza tu iwe muamalaTuma muamala uone kama utakosa ushirikiano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kwahiyo text ya kwanza tu iwe muamalaTuma muamala uone kama utakosa ushirikiano
Upo kwenyd foleni, zamu yako ikifika utajibiwa.Sasa si bora asingenipa namba
Duh sawa mkuuUpo kwenyd foleni, zamu yako ikifika utajibiwa.
Ashtuke nini Kwan baada ya mwezi penyew ndio kusema atakupa masikio siyo mbunye?😄😄😄😄umemaliza mkuu shida unakuta mtu umeomba namba mchana jioni ushamtongoza hapo hata demu mwenyewe lazima ashtuke
Ashtuke nini Kwan baada ya mwezi penyew ndio kusema atakupa masikio siyo mbunye?umemaliza mkuu shida unakuta mtu umeomba namba mchana jioni ushamtongoza hapo hata demu mwenyewe lazima ashtuke
Wanawake ni matapeli in nature, be carefulDuh kwahiyo text ya kwanza tu iwe muamala
Duh sasa miamala inaanza kusoma from no where mkuu lazima atoe ushirikiano hata kidogoWanatoa namba ili mihamala ianze kusoma, ukifanya hivyo utashangaa unapewa vyote.
Kweli mkuu, hasa hawa wa mjiniWanawake ni matapeli in nature, be careful
Tatizo hawana uvumilivu, ila kama unamuhitaji sana kwa ajili ya tendo, unagharamika kiasi, baada ya hapo unamuacha aende zake.Duh sasa miamala inaanza kusoma from no where mkuu lazima atoe ushirikiano hata kidogo
Inahuzunisha sanaInasikitisha
Mwingine unamhitaji zaidi ya tendo ila ndo hvyoTatizo hawana uvumilivu, ila kama unamuhitaji sana kwa ajili ya tendo, unagharamika kiasi, baada ya hapo unamuacha aende zake.
Mkui m nilijua hayo mambo ni kwenye hesabu pekee kumbe hadi huku yapo😂Ugumu ni kupata namba yake tu, mengine umesharahisishiwa.
Tumia mbinu ya
1. Magazijuto na
2. Four Figure
Dunia imebadilika kutokana na utandawaziMwingine unamhitaji zaidi ya tendo ila ndo hvyo
Kuwapata hawa watu wa kike pia kunahitaji zaidi ya hesabu.Mkui m nilijua hayo mambo ni kwenye hesabu pekee kumbe hadi huku yapo😂
Unachosema ni kweli lakini ilibuwese kuruka viunzi vyote hvyo lazima atoe ushirikiano badala yake ni viceversaKuwapata hawa watu wa kike pia kunahitaji zaidi ya hesabu.
1. Hawezi kujirahisi tu eti kwakuwa kakupa namba.
2. Hata kama kakupa namba, usifikiri kwamba Hana mtu au watu wake.
Mpaka mwanaume umefika hatua ya kuomba namba jua bado hujafika level zileNiende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahali popote!!