KAMA HUTAKI KUTOA USHIRIKIANO KWANINI UNATOA NAMBA?

KAMA HUTAKI KUTOA USHIRIKIANO KWANINI UNATOA NAMBA?

Wengine ukosa ajira hivi hivi
 

Attachments

  • IMG-20250215-WA0172.jpg
    IMG-20250215-WA0172.jpg
    118.1 KB · Views: 2
Wanatoa namba ili miamala ianze kusoma, ukifanya hivyo utashangaa unapewa vyote.
 
Ugumu ni kupata namba yake tu, mengine umesharahisishiwa.
Tumia mbinu ya
1. Magazijuto na
2. Four Figure
 
Mkui m nilijua hayo mambo ni kwenye hesabu pekee kumbe hadi huku yapo😂
Kuwapata hawa watu wa kike pia kunahitaji zaidi ya hesabu.
1. Hawezi kujirahisi tu eti kwakuwa kakupa namba.
2. Hata kama kakupa namba, usifikiri kwamba Hana mtu au watu wake.
 
Kuwapata hawa watu wa kike pia kunahitaji zaidi ya hesabu.
1. Hawezi kujirahisi tu eti kwakuwa kakupa namba.
2. Hata kama kakupa namba, usifikiri kwamba Hana mtu au watu wake.
Unachosema ni kweli lakini ilibuwese kuruka viunzi vyote hvyo lazima atoe ushirikiano badala yake ni viceversa
 
Niende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahali popote!!
Mpaka mwanaume umefika hatua ya kuomba namba jua bado hujafika level zile
 
Back
Top Bottom