Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh yani text ya kwanza tu “imethibitishwa”Embu anza na miamala alfu tuone🤣🤣🤣
Yaan mpaka mfumo ukubali labda asiwe Shahid wa yehova uyoo
Aah kumbe nishaelewaaSiku hizi wanatoa namba ili wapate viewers wa status zao za whatsapp. Mwendo wa kuview handbags na viatu tu mpaka uchoke.
Unakata Tamaa harakaNiende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahari popote!!
Hilo tatizo ninalo kweli lakini sometime najikaza lakini badooUnakata Tamaa haraka
Huyo huyo mmoja komaa nae utavunaWanazingua sana, yaani kwa mwezi naweza kupata namba mpya zaidi ya kumi lakini nikijitahidi ni mmoja tu
Sasa je 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Duh yani text ya kwanza tu “imethibitishwa”
Mwezii, si atakuwa kakusahau uanze kujitambulisha sanaaUkipewa namba usiwe na papara ya kumtafuta, kaa ata mwezi bila kumcheki.
Nitajaribu, nianze na dau gani ili nipate matokeo ya haraka?Sasa je 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nitajaribu mkuu nitaleta mrejeshoHuyo huyo mmoja komaa nae utavuna
Unampimia siku anakupa namba iliujue shida zake zinaanzia 20K au 50K 🤣🤣Nitajaribu, nianze na dau gani ili nipate matokeo ya haraka?
Hii nayo point ila kutafuta pesa bila ya kushusha mzigo sio poaNamba haziombwi siku hizi masta, tafuta hela kwa wivu mkubwa sana!" Atajileta mwenyewe
Kila la heri, alafu ukichukua namba usikurupuke kuanza shobo, ukishashoboka tu kivile ujue utamkosa.Nitajaribu mkuu nitaleta mrejesho
Achana na hao wee ingia badoo timder wakukupa namba ujue tayariNiende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahari popote!!
Kuna jamaa alisema kuwa wanawake % kubwa km si wote Ni wauza uchi kwa mifumo tofauti tofauti.....Sasa si waseme kama wanauza namba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kuna jamaa alisema kuwa wanawake % kubwa km si wote Ni wauza uchi kwa mifumo tofauti tofauti.....