KAMA HUTAKI KUTOA USHIRIKIANO KWANINI UNATOA NAMBA?

KAMA HUTAKI KUTOA USHIRIKIANO KWANINI UNATOA NAMBA?

Niende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahari popote!!
Wewe umeng'ang'ania upewe namba haya namba hiyo umepewa sasa unataka ushirikiano gani tena! Bofya bofya hiyo namba uliyoitaka, huenda itajibu.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahari popote!!
Ukipewa namba maana yake anakuweka kwenye circle yake kwa ajiri ya matumizi ya baadae atakapokua na shida ya hela, na kadili unavyoonesha shahuku ya kuwa nae ndipo nae atajua akuweke namba ngapi kwenye list yake ya masimp wake. Keep your class mzee baba. Mwanaume hatumi text mara mbili
 
Ukipewa namba maana yake anakuweka kwenye circle yake kwa ajiri ya matumizi ya baadae atakapokua na shida ya hela, na kadili unavyoonesha shahuku ya kuwa nae ndipo nae atajua akuweke namba ngapi kwenye list yake ya masimp wake. Keep your class mzee baba. Mwanaume hatumi text mara mbili
Oya mkuu unanipa nondo
 
Wewe umeng'ang'ania upewe namba haya namba hiyo umepewa sasa unataka ushirikiano gani tena! Bofya bofya hiyo namba uliyoitaka, huenda itajibu.
Si namba zote napata kwa namna hiyo nyingine mtu anatoa kwa kupenda yeye mwenyewe but ghafla haeleweki
 
Dah! disgusting knyama yani kanipa namba tangu september mwaka jana, ushirikiano zero mpaka leo yaani kanichelewesha mpaka nimemgunduwa kwamba anachogo. Yule Demu jau sana
 
Dah!, it' s so distugusting yani kanipa namba tangu september mwaka jana, ushirikiano zero mpaka leo yaani kanichelewesha mpaka nimemgunduwa kwamba anachogo. Yule Demu jau sana
Hahaha kumbe tupo wengi nilihisi ni mimi pekee
 
Back
Top Bottom