Kama hutaki kutongozwa funga pm!

Kama hutaki kutongozwa funga pm!

Ngoja nianze kuchagua wa kum piemu.
Kuna wengine hata ile mambo tu shida. Unaambulia komaaaaaa, mwingine usinizoeeee.
Basi tafrani tupu
 
Sepetu my dear ndo buku saba yangu ya bodaboda ukala na getoni hukufika kabisa..
Sio vzr bora ungesema unashida na hela ya chips + pedi
Ama kweli wokovu una wenyewe
 
Unajua tatizo wavulana wanaharibu taswira ya wanaume

Maana najua kutongoza ni sawa na kubeti
Unaweza ukapata au kukosa

Sasa inakera mtu anapo ona kukubaliwa kwake ufahari


Ila sijui mawazo ya mleta maada alimanisha au anachangamsha jukwaa
Kweli kabisa na siku zote huo mchezo auhitaji hasira aisee.
 
Back
Top Bottom