Kama huu uvumi ni wa kweli kuhusu Bill Gates ndoa kuvunjika basi kaniangusha vibaya

Kama huu uvumi ni wa kweli kuhusu Bill Gates ndoa kuvunjika basi kaniangusha vibaya

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Yeereeeeeh!

Alipokuja bongo kuuza sura kwa kula wali maharage alishindwa kabisa kuopoa madem wakali nchini? Uvumi umeshaanza kuenea kiichosababisha ndoa ya Bill Gates kuvunjika ni kutembea na huyu demu wa miaka 36 Zhe 'Shelly' Wang mtafsiri katika foundation

yake ya Bill and Melinda Gates.
42663592-9550869-image-a-56_1620329890165.jpg
Screenshot_20210510_201711.jpg
 
Wanadai wimbi la wanaume wa kizungu wanaoa sana wanawake jamii ya china, Thailand, ufilipino na vietnam kwasababu ni watiifu na waaminifu sana kwa wanaume kwenye ndoa na mahusiano. Wanajishughulisha hata kwenye upishi na kutoonyesha dharau.

Aliyekuwa kansela wa Ujerumani Gerhard Schroder kaopoa demu kutoka Thailand na haambiwi kitu. Ameamua hadi kuhamia huko.
 
Ngoja na mimi nikabebe mabox nioe mchina


Hawa dada zetu wa bongo hapana aisee nafuu nisioe
Sasa hiyo demu kwenye picha ana Uzuri gani hadi billionea kumfia?Yani tumeumbwa tofauti sana na mind set za ajabu. Bora tuendelee tu kujisaidia maporini na IQ zetu zenye mushkel uliokubuhu kuliko kuwa na mindsets za kukera.
 
Mzee baba unakuta anyonywa pumbu hatari na hajazoea maraha hayo.

Achana na hawa ndg zetu bongo wanaochezea pumbu kwa kulivuta kama vile wanawasha generator aiseee.
Mademu zetu ni wakali tatizo romance hawajui sijui aibu hata kubadilisha nguo tunaoneana aibu sasa ije iyo korodani si utang'atwa upige ukunga
 
Wanadai wimbi la wanaume wa kizungu wanaoa sana wanawake jamii ya china, Thailand, ufilipino na vietnam kwasababu ni watiifu na waaminifu sana kwa wanaume kwenye ndoa na mahusiano. Wanajishughulisha hata kwenye upishi na kutoonyesha dharau.

Aliyekuwa kansela wa Ujerumani Gerhard Schroder kaopoa demu kutoka Thailand na haambiwi kitu. Ameamua hadi kuhamia huko.
Basi inabidi tukaoe huko Thailand.
 
Sasa hiyo demu kwenye picha ana Uzuri gani hadi billionea kumfia. Yani tumeumbwa tofauti sana na mind st za ajabu. Bora tuendelee tu kujisaidia maporini na OQ zetu zenye mushkel uliokubuhu kuliko kuwa na mindsets za kukera.
Wanasema beauty lie in the eye of beholder

Beauty Ni relative what to you see ugly I see very beautiful what I see uguly anyway sjui kwako utaona nn

Beside atutaki uzuri tunawapenda hao sababu wapo "submissive " tofauti na hawa so called beautiful.. female apes wa bongo

Sjui umenipata na kiingereza changu broken cha kuunga unga.kutoka.manzese.?
 
Wanadai wimbi la wanaume wa kizungu wanaoa sana wanawake jamii ya china, Thailand, ufilipino na vietnam kwasababu ni watiifu na waaminifu sana kwa wanaume kwenye ndoa na mahusiano. Wanajishughulisha hata kwenye upishi na kutoonyesha dharau.

Aliyekuwa kansela wa Ujerumani Gerhard Schroder kaopoa demu kutoka Thailand na haambiwi kitu. Ameamua hadi kuhamia huko.
Sababu yako inaweza kuwa na mantiki ila kitu kingine kikubwa kabisa kama kweli imetokea hivyo, ni kwamba jamii ya watu hao uliowataja, ngozi zao ni nyeupe kiasi lakini ziko sawa kabisa kama zilivyo ngozi za waafrika, yaani wao nao pia hwana upungufu wa melanini kwenye ngozi zao kama zilivyo ngozi za wazungu. Kwa hiyo wana ngozi superior kama zilivyo za waafrika halafu on top of that ngozi zao ziko in between black and white skin. Ngozi ya mwafrika ni superior kwa ile ya mzungu isipokuwa tu wao walipewa tena rangi nyeupe sisi tukapewa nyeusi ila ngozi zetu ni nzuri several times kuliko za wazungu
 
Wanadai wimbi la wanaume wa kizungu wanaoa sana wanawake jamii ya china, Thailand, ufilipino na vietnam kwasababu ni watiifu na waaminifu sana kwa wanaume kwenye ndoa na mahusiano. Wanajishughulisha hata kwenye upishi na kutoonyesha dharau.

Aliyekuwa kansela wa Ujerumani Gerhard Schroder kaopoa demu kutoka Thailand na haambiwi kitu. Ameamua hadi kuhamia huko.
Akirud ujeruman atafundishwa tabia mbaya[emoji16][emoji16]
 
Sasa hiyo demu kwenye picha ana Uzuri gani hadi billionea kumfia?Yani tumeumbwa tofauti sana na mind set za ajabu. Bora tuendelee tu kujisaidia maporini na IQ zetu zenye mushkel uliokubuhu kuliko kuwa na mindsets za kukera.
Kuna tofauti kubwa kati ya hizi jamii mbili Blacks and White katika kutafsiri uzuri wa mwanamke,sisi black hasa African(majority ila sio wote))mwanamke mzuri ni yule mwenye Makalio makubwa na miguu minene (thick)nà awe mng'aavu mambo ya Tabia na uelewa wa mambo hauna nafasi wakati kwa wenzetu wanapenda mwanamke slender ,intelligent na confident
 
Mzee baba unakuta anyonywa pumbu hatari na hajazoea maraha hayo.

Achana na hawa ndg zetu bongo wanaochezea pumbu kwa kulivuta kama vile wanawasha generator aiseee.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom