Kama huwajui hawa, fahamu kuwa bado hujaingia dunia ya kidigitali. Africa must grow again.

Kama huwajui hawa, fahamu kuwa bado hujaingia dunia ya kidigitali. Africa must grow again.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kumbe imawezekana Afrika tukaanzisha au kupromote vitu vyetu. Chini ni picha 2 za watu 2 tofauti like African comedians zilizo bamba sana.
2665375_JamiiForums1892500456.jpg
15e21934c3e41c3.96815000.jpg
 
Huyo Dogo kwny picha ya chini ametrend Afrika kuliko Trump Marekani na Ulaya.
 
Nilivyosoma kichwa cha uzi nikafikiri waafrika tumetengeneza gari linalotumia maji, au kuna kitu kikubwa kwenye teknolojia tumefanya, kumbe in komed.
 
Kutozijua hizo picha mbili hakumpunguzii mtu chochote.Picha hizo zimehusishwa na ujinga ujinga mwingi ambao sioni kama una manufaa kwa yeyote.
Ujinga upi tena jamani🤔🤔🤔😂😂😂
 
Back
Top Bottom