Kama huwajui hawa, fahamu kuwa bado hujaingia dunia ya kidigitali. Africa must grow again.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kumbe imawezekana Afrika tukaanzisha au kupromote vitu vyetu. Chini ni picha 2 za watu 2 tofauti like African comedians zilizo bamba sana.
 
Huyo Dogo kwny picha ya chini ametrend Afrika kuliko Trump Marekani na Ulaya.
 
Nilivyosoma kichwa cha uzi nikafikiri waafrika tumetengeneza gari linalotumia maji, au kuna kitu kikubwa kwenye teknolojia tumefanya, kumbe in komed.
 
Kutozijua hizo picha mbili hakumpunguzii mtu chochote.Picha hizo zimehusishwa na ujinga ujinga mwingi ambao sioni kama una manufaa kwa yeyote.
Ujinga upi tena jamaniπŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…