- Thread starter
- #21
š¤£Rupia mkuu tulishatuma sana zikaliwa mkuu na Mali hazkutokea kwahyo inabdi delivery kwanza ndo tunalipaPenye uzia, penyeza rupia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£Rupia mkuu tulishatuma sana zikaliwa mkuu na Mali hazkutokea kwahyo inabdi delivery kwanza ndo tunalipaPenye uzia, penyeza rupia
Ilo Jina nila Rafiki angu NamuenziKumbe wewe ni ME halafu umejipa I'd ya kike?!!
Kuna jamaa alikuita sister nikaangalia I'd nikajua kapatia kumbe hola..
š
Watoto ndio wanakuwaga na sababu za nilitumwa na mama, mara dada hakuwepo, nilikuwa nafua, yaani ile appointment ya kwanza ilitosha kumkacha
Hajakupenda huyo, alikuwa anataka akuombe hela akakosa namnaMiaka 27 ni mtoto kweli??
Na hajawahi Ata siku moja kuniomba pesa sababu sijawahi skumfata kifedha kifedhaHajakupenda huyo, alikuwa anataka akuombe hela akakosa namna
Mbona Ata sijawah muhongaHuwa nawashangaa sana vijana kwanini mnababaikia wanawake. Mbona decent women wapo wengi tu mtaani.
Mimi mara ya mwisho nimewasiliana na mwanamke kwa muda wa hata dakika mbili au kuchat na mwanamke text zaidi mbili sikumbuki ni lini.
Nikitumia muda wangu kuongea au kuwasiliana na mwanamke basi awe ndugu yangu, anataka kunishirikisha dili la kupiga hela au nigundue yupo smart kichwani kwaiyo naweza kupata maarifa mawili matatu.
Anyway, uyo mwanamke ni mdangaji maarufu kama wadada wa mjini., izo siku ambazo mlipanga appointment ulikua kwenye foleni na wanaume wenzako, akawafanyia evaluation akaona wewe ndio fala wa kukuacha solemba.
Uyo mwanamke ashagundua wewe ni simp, kwa sasa amekuweka tu kwenye circle yake ili aje kukutumia kama leverage wakati ukifika
Ilo sio tatizo. Ashajua wewe ni nice guy, for now she is having fun with bad boys. Nice guys mnawekwa pending kwanza, mtapewa nafasi akishamalizana na hoe and partying phase katika maisha yake.Mbona Ata sijawah muhonga