Nawashangaa, hata mimi yangu ilitoka wakati naendesha baisko πΉπΉπΉHivi watu wanajua kuwa bikra hutoka hata kwa kuendesha baiskeli tu?
Nawashangaa, hata mimi yangu ilitoka wakati naendesha baisko πΉπΉπΉ
πππππ i smell something fishyNawashangaa, hata mimi yangu ilitoka wakati naendesha baisko πΉπΉπΉ
Jamaa aliikuta!!?kwa mtindo wa maisha ya sasa bikira hotaka kirahisi sana mthalani kutokana na stress, uvaaji ngou za ndani, vyakula, mabadiliko ya hali ya hewa, mikito ya safari za baiskeli, bodaboda na dalala
ni vizuri kuzingatia mambo haya kwenye ufukuzaji huo wa wazinzi π
Hv baiskel inatoaje bikra?, naomba kuelimishwa maana sielewi kila niki imagineBro unamawazo hasi, bikra ya mwanamke inaweza kutoka Kwa njia mbalimbali Moja wapo inaweza kuwa ilitoka akiwa anajifunza kuendesha baiskeli za migamba zale za kale wanaita mkulima kwaio usikalili et bikra kutoka ad apelekewe moto[emoji16][emoji16]
ππππworkdone zeroUnaweza kumuoa huyo mdada kwa kigezo kwamba ana bikra ila ukaja chapiwa vilevile huko ndoani [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app