rajiih
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 489
- 744
Wana JF mko poa tupeane pole juu ya hizi mvua zinazoendelea Nchini.
Kwa muda sasa hii hali imekua ikinitatiza huku nikibaki bila kujua hatma ya hii hali itanitoka lini na sijui hata ni nini kimenipata mpaka sasa.
Kama miezi saba {7} imepita nilikua katika PENZI strong sana, Ambalo lilidumu kwa miaka miwili na miezi hiyo niliyoitaja, Kwakua kila lenye mwanzo huwa lina mwisho basi Mahusiano yetu yalifikia tamati kwa sababu ambazo hata sijawahi kuzielewa mpaka sasa na kwa Maridhiano mzuri tulifikia kuwa kila mtu afanye mambo yake na Maisha yake kwa amani kabisa bila Ugomvi wowote ule.
Kwa upande wangu haikunipa shida sana nikiamini atakuja mwingine na maisha yatasonga kama kawaida, Lakini kwa wakati huu nilijipa break kidogo katika mahusiano na haikunipa shida sana kwa sababu akili yangu niliiandaa vyema katika maisha ya Ubachela.
Muda ukapita nikajiona sasa nmejipa muda wa kutosha yafaa nitafute Manzi tuanze MAHUSIANO mapya.
KISANGA KINAANZIA HAPA
Ajabu kila Manzi ninaetokea kumkubali ananipa jibu la moja sawa na niliyemkosa mwanzo huku sababu zikiwa zilezile.
'MHHM! YANII MTU KAMA WEWE UWE SINGLE UNATAKA KUNICHEZEA KISHA UNIACHE TU MTU KAMA WEWE HUWEZI KUKOSA MTU KABISA'
Najiuliza yani mtu kama mimi 'Mimi ni nani hasa na naonekana vipi mbele yao sipati jibu'
wakuu hili jibu limefanya mpka sasa naenda Mwezi wa saba huu bila Manzi na hata kama nikisema nikomae nae kuonyesha kweli kuwa niko single hapo ndo sina changu hakuna kitakachoenda kubadalika baada ya majibu hayo.
Kwa muda sasa hii hali imekua ikinitatiza huku nikibaki bila kujua hatma ya hii hali itanitoka lini na sijui hata ni nini kimenipata mpaka sasa.
Kama miezi saba {7} imepita nilikua katika PENZI strong sana, Ambalo lilidumu kwa miaka miwili na miezi hiyo niliyoitaja, Kwakua kila lenye mwanzo huwa lina mwisho basi Mahusiano yetu yalifikia tamati kwa sababu ambazo hata sijawahi kuzielewa mpaka sasa na kwa Maridhiano mzuri tulifikia kuwa kila mtu afanye mambo yake na Maisha yake kwa amani kabisa bila Ugomvi wowote ule.
Kwa upande wangu haikunipa shida sana nikiamini atakuja mwingine na maisha yatasonga kama kawaida, Lakini kwa wakati huu nilijipa break kidogo katika mahusiano na haikunipa shida sana kwa sababu akili yangu niliiandaa vyema katika maisha ya Ubachela.
Muda ukapita nikajiona sasa nmejipa muda wa kutosha yafaa nitafute Manzi tuanze MAHUSIANO mapya.
KISANGA KINAANZIA HAPA
Ajabu kila Manzi ninaetokea kumkubali ananipa jibu la moja sawa na niliyemkosa mwanzo huku sababu zikiwa zilezile.
'MHHM! YANII MTU KAMA WEWE UWE SINGLE UNATAKA KUNICHEZEA KISHA UNIACHE TU MTU KAMA WEWE HUWEZI KUKOSA MTU KABISA'
Najiuliza yani mtu kama mimi 'Mimi ni nani hasa na naonekana vipi mbele yao sipati jibu'
wakuu hili jibu limefanya mpka sasa naenda Mwezi wa saba huu bila Manzi na hata kama nikisema nikomae nae kuonyesha kweli kuwa niko single hapo ndo sina changu hakuna kitakachoenda kubadalika baada ya majibu hayo.