Kama inaonekana Rais Samia haongozi kwa maslahi ya Tanzania bara awamu yake ya kwanza ya uraisi, basi hali itaonekana mbaya zaidi awamu yake ya pili!

Mkuu🤣🤣
 
Umeambiwa hii ni awamu ya magufuli ya kwake bado haijaanza, itaanza baada ya kushinda uchaguzi mkuu hapo baadaye. Awamu yake ya kwanza itaanza 2025 hadi 2030 na ya pili itaanza 2030 hadi 2035
hii kama ni awamu ya Magufuli ambayo ni awamu ya 5 mbona mmeita ni awamu ya 6 ?
 
They dont care......infact It has been demonstrated that Evil makers live longer than righteoussness
They will also be judged for their terrible deeds, regardless of how long they live. How many bad leaders have there ever been? Where are they now?
 
They will also be judged for their terrible deeds, regardless of how long they live. How many bad leaders have there ever been? Where are they now?
Atleast they benefited alot on Earth, what holds in the Future so called Heaven is uncertain.
 
Ni kosa kubwa kisheria. Na haina faida kwa wananchi
Hata Traole alipopindua Burkina Faso alivunja sheria. Mandela na chama chake cha ANC walivunja sheria. Lakini huwenzi kusema kuvunja kwao sheria haikuwa kwa faida ya wananchi.

Kuna sheria inabidi zivunjwe kwa faida ya wananchi.
 
Atleast they benefited alot on Earth, what holds in the Future so called Heaven is uncertain.
Keep in mind that we are discussing crooked and malevolent politicians(leaders) what are they doing to benefit the planet?
 
Umeambiwa hii ni awamu ya magufuli ya kwake bado haijaanza, itaanza baada ya kushinda uchaguzi mkuu hapo baadaye. Awamu yake ya kwanza itaanza 2025 hadi 2030 na ya pili itaanza 2030 hadi 2035
Mbona inaitwa awamu ya sita?
 
Inaonekana na nani?

Maslahi ya Bara ndio nini na yapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…