Kwa taarifa yako, mimi ni mojawapo ambao napenda tuwe na serikali moja tu, ya Tanzania. Raisi mmoja mwenye amri moja Tanzania nzima, na hakuna cha serikali ya Tanganyika wala ya Mapinduzi Zanzibar!
Kama Zanzibar wanataka kuwa na mamlaka fulani basi tuwe na United States of Tanzania, kila mkoa unakuwa na hadhi ya state na governor wake