Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Kimepanuka WapiKikosi kipana kimeanza kupwaya sasa. Poleni sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimepanuka WapiKikosi kipana kimeanza kupwaya sasa. Poleni sana.
Mademu wa kibongo wamewamaiza nguvu.Tumemlea sana Aziz ki, hachezi mpira muda wote anatoa maelekezo na anakosa nafasi za wazi. Dube ni takataka ambayo haistahili kabisa kuwepo Yanga muda wowote.
Kama inawezekana wavunjiwe mikataba Leo hii.
Kocha tumpe muda amejaribu kadri ya uwezo wake mdogo ila ameangushwa na ujinga wa Aziz ki na Dube.
HahhaaYaani na anguko la kile chama ni hivihivi kitaanza.
Yaani hata Gamondi naamini kuna baadhi ya watu hakuwahitaji wamekuja kuwa mzigo katika timu yake ila viongozi walikuwa wanamkoromea we usitupangie sisi waajiri wakoTumemlea sana Aziz ki, hachezi mpira muda wote anatoa maelekezo na anakosa nafasi za wazi. Dube ni takataka ambayo haistahili kabisa kuwepo Yanga muda wowote.
Kama inawezekana wavunjiwe mikataba Leo hii.
Kocha tumpe muda amejaribu kadri ya uwezo wake mdogo ila ameangushwa na ujinga wa Aziz ki na Dube.