Kama inawezekana Aziz ki na Dube wavunjiwe mikataba wakiwa hapohapo uwanjani

Mademu wa kibongo wamewamaiza nguvu.

Huwezi kushindana na ulikoyokea ukawa salama
 
Yaani hata Gamondi naamini kuna baadhi ya watu hakuwahitaji wamekuja kuwa mzigo katika timu yake ila viongozi walikuwa wanamkoromea we usitupangie sisi waajiri wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…