Kama Jackline Ntuyabalile angeachiwa IPP Media, ingekuwa imeshakufa, anajipost muda wote yuko Dubai kumbi za starehe

Kama Jackline Ntuyabalile angeachiwa IPP Media, ingekuwa imeshakufa, anajipost muda wote yuko Dubai kumbi za starehe

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Kweli mahakama inaona mbali, kama wangekubali huyu dada awe msimamizi wa mirathi na amiliki IPP Media, angekuwa ameshaimaliza.

Muda wote yuko mahotelini Dubai, kwa asiyemjua anaweza kudhani anafanya kazi ya uhudumu hotelini. Haijulikani anakaa na watoto wake saa ngapi.
 
Yuko na mzungu mwenye visima vyake vya mafuta huko Dubengaa, acha aenjoy life.
 
Huyu haweZi kufanya kazi yoyote
Labda kuuza sura tu

Ova
 
Ile ngoma yake ya crazy over you sijui aliitengeneza kwa produza gani. Chuma imetulia sana.
 
Back
Top Bottom