Kama JamiiForums ingekuwa shule ya msingi wafuatao wangekuwa boarding

Kama JamiiForums ingekuwa shule ya msingi wafuatao wangekuwa boarding

joseph1989 brother flani wa celebrity forums, makini sana ✌

CONTROLA nyuzi za biashara anajitahidi kuzitendea haki, brother mwenye moyo flani wa peke yake

Joanah hardcore girl, kwa hii Era naona anaitendea haki

Kasie one of my favorite female personality ya Jf of all time 😁

RRONDO jamaa flani realistic, namuheshimu kwa hilo

Kuna wengi huwezi hata mention wote.
Kila mtu ana space yake humu
salam hizi unazituma ukiwa mkunazini au kule ushahama
 
joseph1989 brother flani wa celebrity forums, makini sana ✌

CONTROLA nyuzi za biashara anajitahidi kuzitendea haki, brother mwenye moyo flani wa peke yake

Joanah hardcore girl, kwa hii Era naona anaitendea haki

Kasie one of my favorite female personality ya Jf of all time 😁

RRONDO jamaa flani realistic, namuheshimu kwa hilo

Kuna wengi huwezi hata mention wote.
Kila mtu ana space yake humu

Hahahahah dah!
 
😁😁😁 huyu rafiki yangu yupo sema jina analotumia gumu sana hata silikumbuki

Amefanya makusudi hivyo kujificha...

Acha adhma yake itimie.

Vyema kila mtu afanye vile roho inapenda.

Yote heri, ukimuona msalimu.
 
JF Stand up, put your hands up
Kuna watu umu wamekua na consistence yakuepo (online) na kuwa wachangiaji wazuri katika nyuzi mbali mbali hapa chamani kwetu JF. Members hawa wenzetu kiukweli wana-keep the place alive.

Binafsi Smart911 namwona ni JF Member ambaye yupo JF boarding( ila tu kama JF ingekua ni shule).
Wangu mimi ni huyu, wewe nani mara zote uwa unamauona online( JF boarding). M-metion ajue kuwa unamuona unamuona ~ suddybrown voice
Binafsi, sijaelewa hiyo BOARDING una maanisha nini, au unataka KULINGANISHA na nini?
 
Yna2 akikosa Bando anakuaga kama broiler lililofikisha siku chache litolewe kwenda kuuzwa

Anapata ugonjwa usio julikana,simu inakua chungu,1 haikai mbili haikai JF ndio nyumban kwake

na sebleni kwake na hivi ni mpenda kukaa ndani ndio kabisaa JF itabaki kuwa uwanja wake wa kujidai.
 
JF Stand up, put your hands up
Kuna watu umu wamekua na consistence yakuepo (online) na kuwa wachangiaji wazuri katika nyuzi mbali mbali hapa chamani kwetu JF. Members hawa wenzetu kiukweli wana-keep the place alive.

Binafsi Smart911 namwona ni JF Member ambaye yupo JF boarding( ila tu kama JF ingekua ni shule).
Wangu mimi ni huyu, wewe nani mara zote uwa unamauona online( JF boarding). M-metion ajue kuwa unamuona unamuona ~ suddybrown voice
@Zero Iq huwa namuelewa Sana kwenye nyuzi zake, wengine Ni deep pond
 
Yna2 akikosa Bando anakuaga kama broiler lililofikisha siku chache litolewe kwenda kuuzwa

Anapata ugonjwa usio julikana,simu inakua chungu,1 haikai mbili haikai JF ndio nyumban kwake

na sebleni kwake na hivi ni mpenda kukaa ndani ndio kabisaa JF itabaki kuwa uwanja wake wa kujidai.
😂😂😂😂 Yani ulivyonielezea..Mungu wangu...mule mule...😍😍...umetisha saaaanaaa
 
JF Stand up, put your hands up
Kuna watu umu wamekua na consistence yakuepo (online) na kuwa wachangiaji wazuri katika nyuzi mbali mbali hapa chamani kwetu JF. Members hawa wenzetu kiukweli wana-keep the place alive.

Binafsi Smart911 namwona ni JF Member ambaye yupo JF boarding( ila tu kama JF ingekua ni shule).
Wangu mimi ni huyu, wewe nani mara zote uwa unamauona online( JF boarding). M-metion ajue kuwa unamuona unamuona ~ suddybrown voice
Huyo ulomwandika inathibitisha ni ww coz ulomtaja sio mchangiaji mzuri Ila yupo tu ili watu wamjue yeye comment zake hata thread ya msiba ni kusema watakuja kukupa mwongozo au ahsante kwa taarifa

Yupoyupo tu ko umeamua uje kwa I'd nyingine ujisifie utumbo ,shida kweli kweli
 
Huyo ulomwandika inathibitisha ni ww coz ulomtaja sio mchangiaji mzuri Ila yupo tu ili watu wamjue yeye comment zake hata thread ya msiba ni kusema watakuja kukupa mwongozo au ahsante kwa taarifa

Yupoyupo tu ko umeamua uje kwa I'd nyingine ujisifie utumbo ,shida kweli kweli
Smart911 unaitwa huku
 
Sky Eclat Karucee Heaven Sent sisters flani hivi, wengine handle zao zimenitoka Ila comment zao zinaongeza kitu

Shimba Ya Buyenze hana baya huyu brother [emoji110]

Mshana Jr japo huwa ananitisha sometimes [emoji1] Ila ni kisima cha maarifa ya maisha

Kiranga moja ya watu walionifanya kuingia Jf, nampa respect yake special haswa kwa jamii intelligence forum

FisadiKuu brother flani hivi makini, nakumkubali sana [emoji122]

MALCOM LUMUMBA one of my major influences and a bro, member naetamani kuonana nae

lara 1 best story teller, ana seat yake special Jf
This means a lot Eyce

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom