Kama Jina la Filbert Bayi Linawakwaza Liondolewe ~ Bayi

Kama Jina la Filbert Bayi Linawakwaza Liondolewe ~ Bayi

amefilisi board ya Olympic huyu mzee tapeli tu.

ame chukua pesa za wafadhili vijana wa vipaji wengi sana. kawaludisha with nothing.

watu wamteme kama vipi. waanze upya na watu wapya.

huyu mzee ni shida kubwa kwenye maendeleo ya michezo yetu. Ana connection ila anakunja watu wasitoboe.
Umenena ya kweli kabisa, mbinafsi kupitiliza.
 
amefilisi board ya Olympic huyu mzee tapeli tu.

ame chukua pesa za wafadhili vijana wa vipaji wengi sana. kawaludisha with nothing.

watu wamteme kama vipi. waanze upya na watu wapya.

huyu mzee ni shida kubwa kwenye maendeleo ya michezo yetu. Ana connection ila anakunja watu wasitoboe.
Ni mshirikina hatari anaogopwa. Ukimjaribu unakwenda unamuacha yeye..
 
Mbona barabara nyingi tu katika nchi hii kamwe hazijawahi kutengenezwa wala kukarabatiwa, kwa nini yeye halalamikii kuhusu barabara hizo badala yake analalamika kuhusu barabara ya kwenda shuleni kwake tu??? Huu ni ubinafsi.
Aidha, zaidi ya takribani asilimia sabini (70%) ya nyumba zote kabisa zilizopo katika Mkoa wa Dsm hazifikiki kwa barabara zaidi ya kufikika kwa njia za watembea kwa miguu za vichochoroni, mbona na suala hili nalo halilalamikii??
Serikali huwa ina mpango wa kujenga kwa lami barabara za mtaani??
 
Kumbe alifikia kuwa Meja wa TPDF? Najua aliposhinda michezo ya OAU mwaka 1972 alipewa cheo cha sajenti
 
Daddy Bayi mtu poa sana waliopitia kwake tangu inaitwa St marys watakuwa wanakumbuka
 
Back
Top Bottom