Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 416
- 414
- Thread starter
-
- #21
Umenena ya kweli kabisa, mbinafsi kupitiliza.amefilisi board ya Olympic huyu mzee tapeli tu.
ame chukua pesa za wafadhili vijana wa vipaji wengi sana. kawaludisha with nothing.
watu wamteme kama vipi. waanze upya na watu wapya.
huyu mzee ni shida kubwa kwenye maendeleo ya michezo yetu. Ana connection ila anakunja watu wasitoboe.
Ni mshirikina hatari anaogopwa. Ukimjaribu unakwenda unamuacha yeye..amefilisi board ya Olympic huyu mzee tapeli tu.
ame chukua pesa za wafadhili vijana wa vipaji wengi sana. kawaludisha with nothing.
watu wamteme kama vipi. waanze upya na watu wapya.
huyu mzee ni shida kubwa kwenye maendeleo ya michezo yetu. Ana connection ila anakunja watu wasitoboe.
😂😂😂 hana pa kujambia ...amezibwa kote na wananchi wenye hasira kaliAkajambe mbele. Anapuyanga kamati ya olimpiki.
Serikali huwa ina mpango wa kujenga kwa lami barabara za mtaani??Mbona barabara nyingi tu katika nchi hii kamwe hazijawahi kutengenezwa wala kukarabatiwa, kwa nini yeye halalamikii kuhusu barabara hizo badala yake analalamika kuhusu barabara ya kwenda shuleni kwake tu??? Huu ni ubinafsi.
Aidha, zaidi ya takribani asilimia sabini (70%) ya nyumba zote kabisa zilizopo katika Mkoa wa Dsm hazifikiki kwa barabara zaidi ya kufikika kwa njia za watembea kwa miguu za vichochoroni, mbona na suala hili nalo halilalamikii??
Anahesabu mawe balaaa...kutwa kwa waloziNi mshirikina hatari anaogopwa. Ukimjaribu unakwenda unamuacha yeye..
Yeye na henry tandau na ghulam rashid wa zanzibar...wametafuna pesa balaaaWamepiga sana pesa yeye na rafiki yake Selemani Nyambui
Hahaha mzee uko kwenye industry nini? Unawajua vizuri naona haha.Yeye na henry tandau na ghulam rashid wa zanzibar...wametafuna pesa balaaa
Anaweweseka huyu mzee na laana za wanariadhaSerikali huwa ina mpango wa kujenga kwa lami barabara za mtaani??
Nyambui yeye yuko bize na wanawake...Hahaha mzee uko kwenye industry nini? Unawajua vizuri naona haha.
Nyambui bado anakula mapesa Brunei?
Hicho cheo ndo anatumia wanariadha wa jeshini kuwagandamiza...mpumbavu sana haka kazeeKumbe alifikia kuwa Meja wa TPDF? Najua aliposhinda michezo ya OAU mwaka 1972 alipewa cheo cha sajenti
Daddy wako mpigaji, mtu wa waganga hataki mchuzi wake uonjwe.Daddy Bayi mtu poa sana waliopitia kwake tangu inaitwa St marys watakuwa wanakumbuka
Ni zaidi ya fisadi ni mwizi kibaka mzoefu zaidi ya miaka 20Fisadi.
Namkumbuka tuu mzee kama mtu aliyekuwa akipenda na kujali sana wanafunzi wakeDaddy wako mpigaji, mtu wa waganga hataki mchuzi wake uonjwe.
Sio mchuzi tu, hataki hata rekodi yake ivunjwe...akishindwa kukuzuia kwenda ulaya , anakuloga au anaenda kwenye taasisi ya jeshi au polisi anakunyima safariDaddy wako mpigaji, mtu wa waganga hataki mchuzi wake uonjwe.
Shule yenyewe ameanzisha kwa lengo la kuwasaidia watoto wa maskini, pamoja na kutengeneza vipaji; ila mwisho ana ropoka na njia, miaka 20 amemsaidia mtoto yupi wa maskini? ni ulozi na uwizi tuWaitengeneze hiyo barabara for the sake of those poor students 😢