Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 416
- 414
- Thread starter
-
- #41
Tatizo mawaziri wote wanaoingia madarakani anawalambisha pesa...kimyaaaaa...! kwa ahadi za safari za nje na mlungulaboard ya Olympic huyu mzee atoke sasa
ame chukua pesa za wafadhili vijana wa vipaji wengi sana. kawaludisha with nothing.
waanze upya na watu wapya.
huyu mzee ni shida kubwa kwenye maendeleo ya michezo yetu. Ana connection ila anakunja watu wasitoboe.
Ina maana kuna pesa nzuri mpaka ya kuwahonga mawaziri asee duuhTatizo mawaziri wote wanaoingia madarakani anawalambisha pesa...kimyaaaaa...! kwa ahadi za safari za nje na mlungula
Ndiyo, Ila kwa baadhi ya Mitaa fulani fulani tu iliyopo maeneo fulani fulani kama vile Mitaa iliyopo eneo la Oyster Bay, and the like.Serikali huwa ina mpango wa kujenga kwa lami barabara za mtaani??
Acha kabisa huyu mzee hafai hata kidogo, yaani yuko hapo kwa ajili ya kulinda record yake isivunjwe na kukwapua pesa zote za hiyo kamati ya olympicNskia ni mchawi balaa..
Na ndio yeye anawazuia kwa makusudi na chuki kubwa sana vijana wa kitanzania wwnye vipaji wasiende olimpiki
Una chuki za kipuuzi dhidi ya Mzee BayiTatizo mawaziri wote wanaoingia madarakani anawalambisha pesa...kimyaaaaa...! kwa ahadi za safari za nje na mlungula