Kama jinsi wachezaji wanavyopewa bonus na motisha vilevile wapigwe faini na adhabu wanapofanya vibaya

Kama jinsi wachezaji wanavyopewa bonus na motisha vilevile wapigwe faini na adhabu wanapofanya vibaya

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Snapinsta.app_463337999_1113569807435558_916073567186468557_n_1080.jpg

Tumeshuhudia timu kubwa barani Afrika kama Al ahly, Wydad AC nk. zikiwatoza faini wachezaji wake na wengine kunyimwa mishahara pindi wanapofanya vibaya hususan katika michezo ambayo ilikuwa ndani ya uwezo wao. Mfano baada ya CR Belouizdad kupoteza kwa mabao 4 - 0 dhidi ya Yanga, wachezaji wote na benchi la ufundi waliadhibiwa kwa kunyimwa mishahara ya mwezi mmoja, huku wakiendelea kuchunguzwa.

Hii itaongeza ari na uwajibikaji katika timu hususan ya Taifa ambapo wachezaji wamekuwa wakicheza bila morale wala motisha kulinganisha na wanapokuwa katika vilabu vyao.
 
Mfano baada ya CR Belouizdad kupoteza kwa mabao 4 - 0 dhidi ya Yanga, wachezaji wote na benchi la ufundi waliadhibiwa kwa kunyimwa mishahara ya mwezi mmoja, huku wakiendelea kuchunguzwa.
Kumbe yanga ilipeleka balaa zito hukonkwa waarabu..
Ile match ilikuwa tamu sana.
 
View attachment 3126520
Tumeshuhudia timu kubwa barani Afrika kama Al ahly, Wydad AC nk. zikiwatoza faini wachezaji wake na wengine kunyimwa mishahara pindi wanapofanya vibaya hususan katika michezo ambayo ilikuwa ndani ya uwezo wao. Mfano baada ya CR Belouizdad kupoteza kwa mabao 4 - 0 dhidi ya Yanga, wachezaji wote na benchi la ufundi waliadhibiwa kwa kunyimwa mishahara ya mwezi mmoja, huku wakiendelea kuchunguzwa.

Hii itaongeza ari na uwajibikaji katika timu hususan ya Taifa ambapo wachezaji wamekuwa wakicheza bila morale wala motisha kulinganisha na wanapokuwa katika vilabu vyao.
Utawaomea bure. Uwezo wao ndo ulipofikia hapo.
 
Wewe stori za wachezaji walinyimwa mshahara wa mwezi mmoja umezitoa wapi?
 
Back
Top Bottom