Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kamanda jm unamengi yakufanya juu yahizi timu za jeshi na polisi,,mwanzoni tuliona si mbaya tukawajumuisha ligi leo hii kama hutochukua hatua za haraka kuna siku utaitwa muhimbili kuchukua maiti ya mchezaji
ujingauliofanywa nabeki waruvu as attached sidhani kamakunahaja yakumdiscuss refa zaidi yakumwondoa nakuwaonya wasimamizi wake nakumpa adhabu kali mchezaji awe onyo,,,
nilisema mwanzoni wanapiga marefa tunakaa kimya watatushika makalio waanzepiga nawachezaji nahiko ndiko kinaendelea ligiyetu busara ikutqngulie kuwadhibu
ujingauliofanywa nabeki waruvu as attached sidhani kamakunahaja yakumdiscuss refa zaidi yakumwondoa nakuwaonya wasimamizi wake nakumpa adhabu kali mchezaji awe onyo,,,
nilisema mwanzoni wanapiga marefa tunakaa kimya watatushika makalio waanzepiga nawachezaji nahiko ndiko kinaendelea ligiyetu busara ikutqngulie kuwadhibu