Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuchangia ujinga wewe!!! hapa sio facebook hapa tunaelimishana na tunabadilishana mawazo, watu wengine bhana sijui wakoje hawa????
Kunyofoana shingo ndo mchezo wa kiume huo!! wachezaji kama hawa wasifumbiwe macho lazima wawajibishwe ili liwe funzo kwa wengine,, hivi huyu mchezaji aliambiwa hivi na kocha wake kuwa akifika uwanjani akawapige ngeta wachezaji wa timu pinzani????
Nyie mnaongelea ushabiki wa simba na yanga au mnaongelea maamuzi ya refarii? Hapa Tanzania kwa taarifa yenu hakuna aliyesalama, c wachezaji wala marefa, kuna mechi moja ligi daraja la kwanza tafuteni ile clip muangalie then mtaelewa ninachomaanisha
Yanga wajifunze kugangamala na wao. Mbona timu nyingine zimecheza na hao wanajeshi tangu mwanzo wa ligi na hawakulalamika?
Yanga kama wangeshinda wala kusingekuwa na hizi kelele za undava wa wanajeshi. Soka ni mchezo wa kiume, kama hamtaki mikiki kachezeni gofu.
Ova
Ujinga si kuficha maoni ya wengine, ujinga ni kulazimisha wengine wasitoe maoni/mawazo yao. Hayo mawazo tutabadiloshanaje kama hatukujia maoni tofauti ya jambo hilhilo moja? Sijapata kisema kuwa naunga mkono upande wowote kwenye hili, nimetoa tanbihi ya nini wanaoinga mkono wanasema kuhusu jambo hili. Mtizamo wangu kwa Simba na Yanga hakuna asiyeulelwa humu jukwaani.Acha kuchangia ujinga wewe!!! hapa sio facebook hapa tunaelimishana na tunabadilishana mawazo, watu wengine bhana sijui wakoje hawa????
Kunyofoana shingo ndo mchezo wa kiume huo!! wachezaji kama hawa wasifumbiwe macho lazima wawajibishwe ili liwe funzo kwa wengine,, hivi huyu mchezaji aliambiwa hivi na kocha wake kuwa akifika uwanjani akawapige ngeta wachezaji wa timu pinzani????
Ungetuambia ni game gani ingekuwa vzuri zaidi
Mechi ligi daraja la kwanza kati ya nadhani police moro cjui na timu gani mm niliangalia sports bar ijumaa clouds fm
Kamanda jm unamengi yakufanya juu yahizi timu za jeshi na polisi,,mwanzoni tuliona si mbaya tukawajumuisha ligi leo hii kama hutochukua hatua za haraka kuna siku utaitwa muhimbili kuchukua maiti ya mchezaji
ujingauliofanywa nabeki waruvu as attached sidhani kamakunahaja yakumdiscuss refa zaidi yakumwondoa nakuwaonya wasimamizi wake nakumpa adhabu kali mchezaji awe onyo,,,
nilisema mwanzoni wanapiga marefa tunakaa kimya watatushika makalio waanzepiga nawachezaji nahiko ndiko kinaendelea ligiyetu busara ikutqngulie kuwadhibu
leta picha ya yondani akikanyaga mtu nimwadabishe hapa,,sikokishabikiulitakiwa uwe fair ili watu wachangie, hakuna mtu anaependa vitendo viovu michezoni, tatizo umeileta kishabiki, kwanza haikuwa jkt ruvu ilikuwa ni ruvu shooting, hukuona teke tambwe alompiga mlinzi wa ruvu wakati hana hata mpira?
Hukuona teke la tumbo alokanyagwa kiungo wa ruvu na yondani? Kama uliyaona kwa nini hujayaeleza hapa?
TunasubirisoonmkubwaHivi mshawahi kumuona kavumbagu alipokuwa yanga alivyokuwa anacheza kihuni?? niko na some videos nitazirusha soon. Yanga wacheze mpira waache kuwatia u.jinga mashabiki eti wameshindwa kuwafunga Ruvu sababu ya kabari moja.
Hapa kidogo sijaelewa. Anayecheza kihuni ni Kavumbagu ama Yanga?Hivi mshawahi kumuona kavumbagu alipokuwa yanga alivyokuwa anacheza kihuni?? niko na some videos nitazirusha soon. Yanga wacheze mpira waache kuwatia u.jinga mashabiki eti wameshindwa kuwafunga Ruvu sababu ya kabari moja.
Kama uliangalia sema kweli, ni wachezaji wa timu gani kati ya Yanga na Ruvu wanaopaswa kuadhibiwa kwa utovu wa nidhamu?
Kamanda jm unamengi yakufanya juu yahizi timu za jeshi na polisi,,mwanzoni tuliona si mbaya tukawajumuisha ligi leo hii kama hutochukua hatua za haraka kuna siku utaitwa muhimbili kuchukua maiti ya mchezaji
ujingauliofanywa nabeki waruvu as attached sidhani kamakunahaja yakumdiscuss refa zaidi yakumwondoa nakuwaonya wasimamizi wake nakumpa adhabu kali mchezaji awe onyo,,,
nilisema mwanzoni wanapiga marefa tunakaa kimya watatushika makalio waanzepiga nawachezaji nahiko ndiko kinaendelea ligiyetu busara ikutqngulie kuwadhibu